Hapana mkuu, ni Mtanganyika wa Tanga. Kilangila.Nimeanza kuingiwa na wasiwasi kwamba huenda profesa assad anafanyiwa hivi kwa sababu ni mzanzibari
Tumeambiwa prof.Assad Mtanganyika wa Tanga.Nimeanza kuingiwa na wasiwasi kwamba huenda profesa assad anafanyiwa hivi kwa sababu ni mzanzibari
Ukikaa kimya utakufaa?Kwani hauna anuani ya Speaker hadi barua uitume humu? Kama hafiki humu ataisoma vip
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Professor wa uchumi Lipumba? Kuwa seriousTanzania nzima INA professor mmoja tu, Prof Assad. Wengine wote ni miyeyusho
A Country is Not a CompanyUlichosahau tu ni kuwa utawala wa sheria awamu ya tano umefungiwa kabatini. Pakiwa na maslahi yao wakubwa hutumia sheria, na wakiona sheria ni kikwazo kupata mashahi huiweka pembeni na kwenda kwa matamko. Hiyo ndiyo awamu ya tamo ikiongozwa na jiwe...
Ni barua ya wazi akipita humu ataisomaKwani hauna anuani ya Speaker hadi barua uitume humu? Kama hafiki humu ataisoma vipi
Sent using Jamii Forums mobile app
ni mwenyeji wa Tanga mkuuNimeanza kuingiwa na wasiwasi kwamba huenda profesa assad anafanyiwa hivi kwa sababu ni mzanzibari
Yupo na Prof Shivji,na Yule Dr Malecela,wengine wote ni mazwazwa!Tanzania nzima INA professor mmoja tu, Prof Assad. Wengine wote ni miyeyusho
Sidhani kwamba ni Mzanzibari ila ni Mtanzania safiNimeanza kuingiwa na wasiwasi kwamba huenda profesa assad anafanyiwa hivi kwa sababu ni mzanzibari
Mkuu ajue asijue; wote wawili hawana nguvu ya kikatiba/kisheria kufanya yanayofanywa sasa. Sasa Tanzania imejipa hadhi ya SHAMBA LA WANYAMA lile la George Orwell wa mwaka 1945Haingii akilini kwa nijuavyo Mimi Speaker afanye maazi magumu haya bila Rais kuridhia au kujua. Zile tilioni zilizopigwa ndo matokeo take hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app