Barua kwako Eric wa CCM

Na bado atalia sana, baba tiffa aliliaga kipindi mh mmoja pale mjengon amepeleka mswada kuhusu kazi za wasani, afu ukawekwa kapuni, lakn mwaka jana baba tiffa ndo alikuwa kinara wa kukata mauno jukwaani na huyu nae analia
kule kwetu kuna msemo unasema "embwa ke'etakaile mkila teluga omu maiga" yaaan mbwa kama hajaungua mkia hawezi toka kwenye mfiga, msimu wa baridi mbwa wanapenda kukaa karibu na mafiga vijijin. Sasa naona mkia wa jamaaa unaungua taratiiiii...........buu
 
nakumbuka ile misemo ya "maji yakisha mwagika hayazoleki".

kwel marehemu utakumbukwa daima umetuachia kawimbo ambako mpaka vitoto vilivoko tumboni namba inasomeka R.I.P
 



  • Eric Shigongo, kiendacho hurudi! The chickens have come home to roost, ulitamba sana kwa pesa za kutungua wewe na mashenanigans wenzio wa ccm, sasa ni wazi wameishiwa na pesa za kutungua hakunaga tena, wacha uionje shubiri ya sera, utamaduni na itikadi ya ccm, wamekutosa, ushauri wa bure, kufa na tai shingoni, ukiendelea na mkakati wako wa kuwaumbua, rejea karipio la Kinana, utaumia!! Kodi za kila aina, uhakiki wa vyeti vya waandishi wako makanjanja, mikopo, visasi vya uliowaathiri kwa vijarida vyako uchwara; yote hayo yatakushukia kama kipanga, Erick hustahili huruma ya mtu yeyote, ulitesa sana sasa ni saa ya malipo, lia kimyakimya.
 
dah jamaa ameandika watu vibaya sana kwene magazeti yake wacha alie tu kwakweli
 
Shigongo hajmaliza hadithi yake hasa inayohusu yeye na ccm so sidhan kama ni vyema kumnanga juu ya hilo..
Ila nilichojifunza kwake ni kutokuiamn taasisi yoyote ile ya kisiasa na kujichanganyamo ... u better be a farmer than being a politician tena a backdoor politician .. no nooooo
Ingawa TIME WILL TELL
 
Rudi Tu Kachunge Ng'ombe Boss, Na Magazeti Ukauzie Vitumbua.

Tuliwaambia Namba mtaanza zisoma nyie wenyewe, ila angalau wewe utasaidiana kuzisoma na OFM.
 

Mtu ukikopa ni lazima kulipa deni la mkopo, hapo hakuna lingine. Alichotumia kufanyia pesa hizo atajiju, lizidi na kudanganya vijana juu ya kuendelea.

Nilikuwa simwelewi sasa nimemuelewa na sishangai kabisa kwa yaliyomkuta. Kweli watu walibebwa sana, Hongera kwa JPM.
 
Nikiwa na mamaa kwenye hotel sijui yake au ya mke wake chumba kilikuwa hamsini na tano elfu, pale mkabala na ambiance Africa sana, ki ukweli kufirisika mjanja mjanja kama huyu wa kisukuma ni ngumu isipokuwa anatafuta huruma na kick, na kumbuka kwa wafanyabiashara hela yao yoyote kuwa nje ni pigo kubwa sana wataidai mpaka mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…