Barua kwa mnyonge

"Wananchi na wenyenchi" kweli kuna tofauti kidogo hapo, panatengenezwa tabaka kati ya watawala na watawaliwa, watawala wanarishishana madaraka wakati watawaliwa wanaishia kuwa wakulima wa jembe la mkono, machinga, na walalahoi wengine.
 
"Wananchi na wenyenchi" kweli kuna tofauti kidogo hapo, panatengenezwa tabaka kati ya watawala na watawaliwa, watawala wanarishishana madaraka wakati watawaliwa wanaishia kuwa wakulima wa jembe la mkono, machinga, na walalahoi wengine.
Ni kweli Tena Sana Na Tabaka sio Dogo ni kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…