Barua kwa mnyonge

"Wananchi na wenyenchi" kweli kuna tofauti kidogo hapo, panatengenezwa tabaka kati ya watawala na watawaliwa, watawala wanarishishana madaraka wakati watawaliwa wanaishia kuwa wakulima wa jembe la mkono, machinga, na walalahoi wengine.
 
"Wananchi na wenyenchi" kweli kuna tofauti kidogo hapo, panatengenezwa tabaka kati ya watawala na watawaliwa, watawala wanarishishana madaraka wakati watawaliwa wanaishia kuwa wakulima wa jembe la mkono, machinga, na walalahoi wengine.
Ni kweli Tena Sana Na Tabaka sio Dogo ni kubwa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom