DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 7,612
- 15,479
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Tena Sana Na Tabaka sio Dogo ni kubwa"Wananchi na wenyenchi" kweli kuna tofauti kidogo hapo, panatengenezwa tabaka kati ya watawala na watawaliwa, watawala wanarishishana madaraka wakati watawaliwa wanaishia kuwa wakulima wa jembe la mkono, machinga, na walalahoi wengine.
Ile nyimbo ina ujumbe mzito sana japo kenya sio watu wa kujali watafata kabila tuKuna ule wimbo wa yule Mkenya uniatwa "Wajinga nyinyi"
Ina fikirisha sanaKUNA WANYONGE WANA HOJA ZA KIBAGUZI WANASEMA HUPIGI KURA ETI UNASHIRIKI TU UCHAGUZI,