NCHI YETU, MATATIZO YETU, UPEO WETU, MAJIBU YA MATATIZO YETU ETI NI EDWARD LOWASSA. Nchi yenye umri wa miaka 50 ina watu wa ajabu sana hii, dah yaan kila kitu ni Lowassa, Lowassa, Lowassa, hebu tusaidieni kututajia uchafu wa LOWASSA na tutathmini na matatizo ya Nchi yetu ili tuone ana mchango gani yeye binafsi katika ukosefu wa ajira, mfumuko wa bei, afya,elimu ,miundombinu, nishati,ardhi, nk. Mtatusaidia kujua kuwa tatizo si CCM bali LOWASSA!