Barrick wasimamisha mgodi.

Barrick wasimamisha mgodi.

Tatizo ni viongozi wetu na wabunge wetu, viongozi wanaandaa mswaada wa sheria bila kufanya study ya kutosha maadamu wanayoyafikiria yawemo kwenye sheria kama vile wao ndio wamekamilika basi huamini imekidhi, na wabunge nao badala ya kujadili wamebaki ushabiki wa vyma tu na kulala bungeni. Huyu Sijui Zambi alikuwemo bungeni na sheria ilipitishwa bungeni leo imeanza kusimamiwa ili itumike ipasavyo imesababisha kero kubwa sana kwa wazalendo. Geita GGM walikuwa na mtafaruku kama huu wakalazimika kumwita afisa wa SSRA naye amekiri kabisa kutokana na utaratibu wa kazi za migodini na makampuni yatowayo huduma migodini (subcontractors) na aina ya mikataba wanayoingia wafanyakazi bado wana lazima ya kuwa na haki ya kujitoa na kuchukua mafao yao kabla ya umri wa kustaafu. sasa ndipo nasema mwanzo hawakufanya utafiti aina ya wadau wa mifuko hii ya Jamii. Angalia hata barua ilioambatanishwa walioiandika.
 

Attachments

Watu wa migodi wamechachamaa lakini huku sector nyingine tumelala usingizi sana!!

Wewe ndio umelala watu wa-telecom wanasainisha petition (i.e Tigo, Airtel na Voda) ya kukataa huu upuuzi
 
naunga mkono, sheria hii ni ya wezi wa mchana ,SSRA ni zaidi ya wabakaji na wafiraji.
 
kamanda acha uoga.....nchi ni yako bado unaishi kwa hofu kiasi kikubwa hivyo.
Mi nawaonea huruma hawa wafanyakazi maanake wanachezea hela ya mzungu na ukichezea hela ya mzungu, pia unachezea hela ya house boy wake pale wizarani, matokeo yake tutasikia tuu, mtu kibao wamepoteza maisha kisa wamekosa adabu na kufanya fujo kazini. Ebwanaee cheza mbali na maswala ya madini, hii kampuni ya barricks si juzi juzi tu walifukia wachimbaji wadogo wadogo naomba mtu anikumbushe ilikuwa mgodi gani tena? Nawaomba wote mnaogoma, tafadhali msilogwe mkainigia ndani ya mgodi kugoma maana itakuwa last time unaona mwanga wa jua, utafukiwa live mwanangu. Wote twafahamu madai ya mzungu yanapewa tija punde linapolalamika kwa nguvu za dola, tena adhabu ya kumsumbua mzungu ni kali kuliko umsumbue mbongo mwenzako. Hata nchi za watu (ie USA), weusi wanafahamu ya kwamba usicheze na mzungu. Nilipata fursa kusoma biography ya black mmoja jina lake Nathan McCall (Makes me wanna holler), story yake ilinisaidia sana kuelewa game la ulaya. Jamaa akiwa gangster flani aliwahi gombana na blaki mwenzake jambo lakipumbavu tu, akampiga shaba ya kifua nusura amuue jamaa, kesi ilikuwa chamtoto hamna noma wala nini akaachiwa. Muda ukapita kidogo Nathan akaenda kuvamia duka fulani ambako mzungu alikuwa meneja, hakupiga mtu yeyote risasi wala nini, alichomoa chuma akawaambia kila mtu lala chini. Ebwanaee, soo lililozuka kumchomolea mzungu bastola ilimpa kifungo cha miaka kadhaa ingawa hakuna mtu aliyejeruhiwa. Sasa kwa mtazamo wangu, nawashauri hao wafanyakazi wa Barricks wasambaratike na kurudi makwao yaani msikutwe eti mnagoma kazini kwa mzungu, hii ni ngoma ambayo hutaki kucheza mziki wake.
 
Mi nawaonea huruma hawa wafanyakazi maanake wanachezea hela ya mzungu na ukichezea hela ya mzungu, pia unachezea hela ya house boy wake pale wizarani, matokeo yake tutasikia tuu, mtu kibao wamepoteza maisha kisa wamekosa adabu na kufanya fujo kazini. Ebwanaee cheza mbali na maswala ya madini, hii kampuni ya barricks si juzi juzi tu walifukia wachimbaji wadogo wadogo naomba mtu anikumbushe ilikuwa mgodi gani tena? Nawaomba wote mnaogoma, tafadhali msilogwe mkainigia ndani ya mgodi kugoma maana itakuwa last time unaona mwanga wa jua, utafukiwa live mwanangu. Wote twafahamu madai ya mzungu yanapewa tija punde linapolalamika kwa nguvu za dola, tena adhabu ya kumsumbua mzungu ni kali kuliko umsumbue mbongo mwenzako. Hata nchi za watu (ie USA), weusi wanafahamu ya kwamba usicheze na mzungu. Nilipata fursa kusoma biography ya black mmoja jina lake Nathan McCall (Makes me wanna holler), story yake ilinisaidia sana kuelewa game la ulaya. Jamaa akiwa gangster flani aliwahi gombana na blaki mwenzake jambo lakipumbavu tu, akampiga shaba ya kifua nusura amuue jamaa, kesi ilikuwa chamtoto hamna noma wala nini akaachiwa. Muda ukapita kidogo Nathan akaenda kuvamia duka fulani ambako mzungu alikuwa meneja, hakupiga mtu yeyote risasi wala nini, alichomoa chuma akawaambia kila mtu lala chini. Ebwanaee, soo lililozuka kumchomolea mzungu bastola ilimpa kifungo cha miaka kadhaa ingawa hakuna mtu aliyejeruhiwa. Sasa kwa mtazamo wangu, nawashauri hao wafanyakazi wa Barricks wasambaratike na kurudi makwao yaani msikutwe eti mnagoma kazini kwa mzungu, hii ni ngoma ambayo hutaki kucheza mziki wake.

Dizaini umeanza kukutana na wazungu ukubwani.
 
kamanda acha uoga.....nchi ni yako bado unaishi kwa hofu kiasi kikubwa hivyo.

Mhe. Vinci, hii nchi ni ya watu wachache, wengineo tumebaki kama watoto wa kambo hamna dili wala nini. Nilikuwa najaribu kumake point ya kwamba ubavu wa mtu mweusi ni mdogo sana ukilinganisha na mzungu pia kuwapa tahadhari wanamgomo wawe macho wasije shangaa kisago kitakachofuata. Angalia historia ya bara letu la afrika, akina patrice lumumba, samora, biko na wengine wengi tu wamekwishaangamia ktk harakati zao kukabiliana na racism iweje mfanyakazi wa mgodini?
 
Back
Top Bottom