saidomr
Member
- Nov 20, 2010
- 58
- 2
hawa wanabidi waungwe mkono jamani wafanyakazi,eeeeeeeeeenh?
ndiooooooooo
hawa wanabidi waungwe mkono jamani wafanyakazi,eeeeeeeeeenh?
unatoa ajira kwa watanzania hayo mengine komaaa na serikali yakoHuo Mgodi una faida gani kwa wananchi wa Tanzania zaidi ya kuneemesha huko majuu!
Watu wa migodi wamechachamaa lakini huku sector nyingine tumelala usingizi sana!!
Mi nawaonea huruma hawa wafanyakazi maanake wanachezea hela ya mzungu na ukichezea hela ya mzungu, pia unachezea hela ya house boy wake pale wizarani, matokeo yake tutasikia tuu, mtu kibao wamepoteza maisha kisa wamekosa adabu na kufanya fujo kazini. Ebwanaee cheza mbali na maswala ya madini, hii kampuni ya barricks si juzi juzi tu walifukia wachimbaji wadogo wadogo naomba mtu anikumbushe ilikuwa mgodi gani tena? Nawaomba wote mnaogoma, tafadhali msilogwe mkainigia ndani ya mgodi kugoma maana itakuwa last time unaona mwanga wa jua, utafukiwa live mwanangu. Wote twafahamu madai ya mzungu yanapewa tija punde linapolalamika kwa nguvu za dola, tena adhabu ya kumsumbua mzungu ni kali kuliko umsumbue mbongo mwenzako. Hata nchi za watu (ie USA), weusi wanafahamu ya kwamba usicheze na mzungu. Nilipata fursa kusoma biography ya black mmoja jina lake Nathan McCall (Makes me wanna holler), story yake ilinisaidia sana kuelewa game la ulaya. Jamaa akiwa gangster flani aliwahi gombana na blaki mwenzake jambo lakipumbavu tu, akampiga shaba ya kifua nusura amuue jamaa, kesi ilikuwa chamtoto hamna noma wala nini akaachiwa. Muda ukapita kidogo Nathan akaenda kuvamia duka fulani ambako mzungu alikuwa meneja, hakupiga mtu yeyote risasi wala nini, alichomoa chuma akawaambia kila mtu lala chini. Ebwanaee, soo lililozuka kumchomolea mzungu bastola ilimpa kifungo cha miaka kadhaa ingawa hakuna mtu aliyejeruhiwa. Sasa kwa mtazamo wangu, nawashauri hao wafanyakazi wa Barricks wasambaratike na kurudi makwao yaani msikutwe eti mnagoma kazini kwa mzungu, hii ni ngoma ambayo hutaki kucheza mziki wake.
Mi nawaonea huruma hawa wafanyakazi maanake wanachezea hela ya mzungu na ukichezea hela ya mzungu, pia unachezea hela ya house boy wake pale wizarani, matokeo yake tutasikia tuu, mtu kibao wamepoteza maisha kisa wamekosa adabu na kufanya fujo kazini. Ebwanaee cheza mbali na maswala ya madini, hii kampuni ya barricks si juzi juzi tu walifukia wachimbaji wadogo wadogo naomba mtu anikumbushe ilikuwa mgodi gani tena? Nawaomba wote mnaogoma, tafadhali msilogwe mkainigia ndani ya mgodi kugoma maana itakuwa last time unaona mwanga wa jua, utafukiwa live mwanangu. Wote twafahamu madai ya mzungu yanapewa tija punde linapolalamika kwa nguvu za dola, tena adhabu ya kumsumbua mzungu ni kali kuliko umsumbue mbongo mwenzako. Hata nchi za watu (ie USA), weusi wanafahamu ya kwamba usicheze na mzungu. Nilipata fursa kusoma biography ya black mmoja jina lake Nathan McCall (Makes me wanna holler), story yake ilinisaidia sana kuelewa game la ulaya. Jamaa akiwa gangster flani aliwahi gombana na blaki mwenzake jambo lakipumbavu tu, akampiga shaba ya kifua nusura amuue jamaa, kesi ilikuwa chamtoto hamna noma wala nini akaachiwa. Muda ukapita kidogo Nathan akaenda kuvamia duka fulani ambako mzungu alikuwa meneja, hakupiga mtu yeyote risasi wala nini, alichomoa chuma akawaambia kila mtu lala chini. Ebwanaee, soo lililozuka kumchomolea mzungu bastola ilimpa kifungo cha miaka kadhaa ingawa hakuna mtu aliyejeruhiwa. Sasa kwa mtazamo wangu, nawashauri hao wafanyakazi wa Barricks wasambaratike na kurudi makwao yaani msikutwe eti mnagoma kazini kwa mzungu, hii ni ngoma ambayo hutaki kucheza mziki wake.
kamanda acha uoga.....nchi ni yako bado unaishi kwa hofu kiasi kikubwa hivyo.