Baridi ya Njombe

Jana usiku nimelala chumbani nasikia wenyeji nje wanalalamikia baridi imezidi. Nikajiuliza kama wenyeji wanalalamika hivi mimi ni nani nijikaze na hii baridi.
Haizoeleki mkuu sasa ninachojiuliza mkuu mbona baridi ya huku inafanya uwe mweusi lakini ya ulaya unang'aa kama nn yan
 
Jana usiku nimelala chumbani nasikia wenyeji nje wanalalamikia baridi imezidi. Nikajiuliza kama wenyeji wanalalamika hivi mimi ni nani nijikaze na hii baridi.
Ungejitia ushujaa na kuwaambia..."msifadhaike ndugu zangu.Tumeiweza korona nini baridi.Iweni na uvumilivu.Makoti,masweta na mashuka tupeni kuleee"...!
 
Mpaka jana nilikuwa makambako sokoni ikifika saa 11 mgambo utadhani wanajeshi, wanafunga kama kuzunguka soko ukikutwa ndani ya soko faini
Hata mafinga ni hivyo hivyo mkuu kuna mapato mengi wanapoteza
 
Haizoeleki mkuu sasa ninachojiuliza mkuu mbona baridi ya huku inafanya uwe mweusi lakini ya ulaya unang'aa kama nn yan
Kuna vijiji vipo hko ukipitia ilembura Yan hakueleweki , mchana linawaka jua Kali Kama usangu na unababuka af usiku barid Kali ya makambako ....utaipenda
 
Kawaida Sana huko, Tena Bora njombe , makambako unapga baridi ikiwa ndan ya kifungashio Cha upepo, ngoma inapenya kwenye mifupa hasa kutoka mizan Hadi green city hall
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ makambako kuna upepo mkali unatokea upande wa njombe ila nikiwa njombe upepo siusikii ina maana ile baridi ya njombe huwa inasukumiziwa makambako au!
 
Kuna vijiji vipo hko ukipitia ilembura Yan hakueleweki , mchana linawaka jua Kali Kama usangu na unababuka af usiku barid Kali ya makambako ....utaipenda
Mafinga jua kali la saa saba lakini unavaa koti na mzura pamoja na groves na bado unaskia baridi
 
Iringa njombe sijaskia visa vya corona toka imeanza
Mwaka jana Makambako pale karibu na sokoni kuna nyumba ilizungushiwa utepe wakadai kuna mgonjwa wa corona so wameiweka nyumba lockdown ilikua inalindwa na askari police
 
Mwaka jana Makambako pale karibu na sokoni kuna nyumba ilizungushiwa utepe wakadai kuna mgonjwa wa corona so wameiweka nyumba lockdown ilikua inalindwa na askari police
Upumbavu mkubwa kwa hyo polisi wao corona hawaogopi?
 
Ndio mana ngwengwe inasumbua huko, hali ya hewa inahamasisha watu kunyanduana kwenda mbele! ๐Ÿคฃ
 
Mkuu ntapata wapi muda wa kuongea nao ikiwa niko ndani ya blanket kubwa sana yaani ukitoa tu kichwa unahisi baridi hatari
Ungetumia fomyula ya Tigo mkuu.Kimoja tu cha asubuhi! It's a mere joke,boss!๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ