Dah huku acha wakae wenyeji hii baridi hapana. Nina siku ya tatu leo sijaoga wala sina mpango. Ntaenda kuoga hata iringa au ruaha mbuyuniVua shati ufanye jogging kuanzia hapo ulipo hadi Ruhuji na kurudi.Hautatamani koti tena mkuu.Usijaribu.Kifo hakina chama.😂😂😂😂
Haujapazoea tu.Kuna watoto kuanzia miaka mitano wapo saa hizi barabarani wanacheza tu na baiskeli zao za mbao zinaitwa "vibagadu"!Wako full shangwe!😂😂😂😂Dah huku acha wakae wenyeji hii baridi hapana. Nina siku ya tatu leo sijaoga wala sina mpango. Ntaenda kuoga hata iringa au ruaha mbuyuni
Nmesoma njoss hapo kunasiku saa kumi jion ngoja unasoma 6 centigrade degreesDah huku acha wakae wenyeji hii baridi hapana. Nina siku ya tatu leo sijaoga wala sina mpango. Ntaenda kuoga hata iringa au ruaha mbuyuni
Bagadu sku hiz hazipo hata vijijin saana utaiona moja , Ila zilikuwaga mk enzi hizo watoto wa bushi walivokuwa wanaleta mkaa na kuniHaujapazoea tu.Kuna watoto kuanzia miaka mitano wapo saa hizi barabarani wanacheza tu na baiskeli zao za mbao zinaitwa "vibagadu"!Wako full shangwe!😂😂😂😂
Ubunifu umeisha au wamenunua magari?Bagadu sku hiz hazipo hata vijijin saana utaiona moja , Ila zilikuwaga mk enzi hizo watoto wa bushi walivokuwa wanaleta mkaa na kuni
Kama ni mzururaj usiku huwa inadrop Hadi tano,....huko makete na lupembe ni balaa had mimea huwa Ina kaukaDuh aisee hii ni hatari, kama itafika 6 basi naomba hali hiyo isinikutie huku.
Mbna 6 ya kawaida na unasurviveDuh aisee hii ni hatari, kama itafika 6 basi naomba hali hiyo isinikutie huku.
Ila pia nimegundua huku watu wanafunga biashara mapema sana na wanachelewa kufungua, nikiwa makambako pale sokoni kwao nikaona mgambo wanapuliza filimbi saa 11 jioni eti watu wafunge biashara. Nilishangaa sana.Kama ni mzururaj usiku huwa inadrop Hadi tano,....huko makete na lupembe ni balaa had mimea huwa Ina kauka
Mtawa huyo mkuu.
Filimbi hupulizwa saa 11:30 Ila 12 haruhusiw mtu mle ndanIla pia nimegundua huku watu wanafunga biashara mapema sana na wanachelewa kufungua, nikiwa makambako pale sokoni kwao nikaona mgambo wanapuliza filimbi saa 11 jioni eti watu wafunge biashara. Nilishangaa sana.