Bariani Babu Eddy (the first Zantel CEO)

Bariani Babu Eddy (the first Zantel CEO)

Barubaru

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2009
Posts
7,161
Reaction score
2,325
Nilipokea akhabari za masikitiko na khuzuni kubwa za Mzee wangu Mohamed Ahmed Salim maarufu kama BABU EDDY(ndugu yake Salim Ahmed Salim) kilichotokea huko mbweni , unguja siku ya alkhamis mchana tarih 1/5/2014 kutoka kwa ndugu yake Sultan Ahmed Salim ambaye ni diwani kata ya upanga mashariki, Dar.


Namshukuru Allah kwa kuniwezesha kuweza kuwahi kuswalia swala ya janaiz ya Babu Eddy ambaye alikuwa rafiki kipenzi cha almarhum Baba yangu mzazi.


Nitaandika wasifu wake insh'Allah nikirudi Doha leo ijumaapili mchana lakin kwa kifupi kwa wale wazee wa zamani kule Znz watamkumbuka kwa kuwa alikuwa mchezaji mahiri sana wa football lakin vile vile miaka ya mwanzoni mwa 70's alikuwa head of finance TANESCO makao makuu na miaka ya 80's alikuwa Head of Finance ETISALAT Abu dhwabi UAE kabla mwaka 1999 kuhamishiwa Zanzibar kuja kuanzisha kampuni ya simu ya ZANTEL Znz kwa kuwa Mtendaji mkuu (CEO).


Kwa walioishi Abu dhwabi ni pigo kubwa sana kwani alikuwa sit u ni kiungo cha waTz waishio huko bali alikuwa baba mshauri na alikuwa mzalendo mkubwa sana wa kuipenda nchi yake Znz na Tz kijumla.


Upande wangu mimi nilisoma na ndugu yake Majjid skuli moja lakin ndie yeye aliyenipa ushauri nijiunge na Udsm kozi ya BCOM na niachane na Engineering ( kwani form six nilifaulu vizuri sana masomo ya PCM)


Insh'Allah mengi nitaandika baadyn kwa sasa ni budi tuzikubali kadari za muumba kuwa kila kilichoumbwa naye basi kitarejea kwake.


INNA LILLAH WAINNA ILAIHHI RAJIHUNNA

Dr Hamza Yousuf Al Naamani
 
Pole sana Barubaru aka Dr Hamza Yussuf Naamami. Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
 
Kazi ya Mungu haina makosa
Sisi sote ni waja wake na kwake tutarejea.
Apumzike kwa Amani !
 
Inna Lillah Wa Inna Ilyhi Raj'uun.
Sisi sote ni waja wa MWENYEZI MUNGU na kwake tutarejea.
 
Nilipokea akhabari za masikitiko na khuzuni kubwa za Mzee wangu Mohamed Ahmed Salim maarufu kama BABU EDDY(ndugu yake Salim Ahmed Salim) kilichotokea huko mbweni , unguja siku ya alkhamis mchana tarih 1/5/2014 kutoka kwa ndugu yake Sultan Ahmed Salim ambaye ni diwani kata ya upanga mashariki, Dar.


Namshukuru Allah kwa kuniwezesha kuweza kuwahi kuswalia swala ya janaiz ya Babu Eddy ambaye alikuwa rafiki kipenzi cha almarhum Baba yangu mzazi.


Nitaandika wasifu wake insh’Allah nikirudi Doha leo ijumaapili mchana lakin kwa kifupi kwa wale wazee wa zamani kule Znz watamkumbuka kwa kuwa alikuwa mchezaji mahiri sana wa football lakin vile vile miaka ya mwanzoni mwa 70’s alikuwa head of finance TANESCO makao makuu na miaka ya 80’s alikuwa Head of Finance ETISALAT Abu dhwabi UAE kabla mwaka 1999 kuhamishiwa Zanzibar kuja kuanzisha kampuni ya simu ya ZANTEL Znz kwa kuwa Mtendaji mkuu (CEO).


Kwa walioishi Abu dhwabi ni pigo kubwa sana kwani alikuwa sit u ni kiungo cha waTz waishio huko bali alikuwa baba mshauri na alikuwa mzalendo mkubwa sana wa kuipenda nchi yake Znz na Tz kijumla.


Upande wangu mimi nilisoma na ndugu yake Majjid skuli moja lakin ndie yeye aliyenipa ushauri nijiunge na Udsm kozi ya BCOM na niachane na Engineering ( kwani form six nilifaulu vizuri sana masomo ya PCM)


Insh’Allah mengi nitaandika baadyn kwa sasa ni budi tuzikubali kadari za muumba kuwa kila kilichoumbwa naye basi kitarejea kwake.


INNA LILLAH WAINNA ILAIHHI RAJIHUNNA

Dr Hamza Yousuf Al Naamani


Dr Kumbe tulikuwa wote mazikoni farewell babu eddy ni mtu aliyewasaidia sana vijana wa kisomi pale zanzibar. Utakumbukwa kwa mengi but moja ucheshi na ukaribu na watu.

Inasikitisha sana watu kama hawa hawagombei nafasi katika siasa but I respect their wishes. Ila ni watu ambao walikuwa na mapenzi ya dhati kwa zanzibar na tanzania kwa ujumla.

Inna lillahi wainna ilaihi rajiun
 
Nilipokea akhabari za masikitiko na khuzuni kubwa za Mzee wangu Mohamed Ahmed Salim maarufu kama BABU EDDY(ndugu yake Salim Ahmed Salim) kilichotokea huko mbweni , unguja siku ya alkhamis mchana tarih 1/5/2014 kutoka kwa ndugu yake Sultan Ahmed Salim ambaye ni diwani kata ya upanga mashariki, Dar.


Namshukuru Allah kwa kuniwezesha kuweza kuwahi kuswalia swala ya janaiz ya Babu Eddy ambaye alikuwa rafiki kipenzi cha almarhum Baba yangu mzazi.


Nitaandika wasifu wake insh'Allah nikirudi Doha leo ijumaapili mchana lakin kwa kifupi kwa wale wazee wa zamani kule Znz watamkumbuka kwa kuwa alikuwa mchezaji mahiri sana wa football lakin vile vile miaka ya mwanzoni mwa 70's alikuwa head of finance TANESCO makao makuu na miaka ya 80's alikuwa Head of Finance ETISALAT Abu dhwabi UAE kabla mwaka 1999 kuhamishiwa Zanzibar kuja kuanzisha kampuni ya simu ya ZANTEL Znz kwa kuwa Mtendaji mkuu (CEO).


Kwa walioishi Abu dhwabi ni pigo kubwa sana kwani alikuwa sit u ni kiungo cha waTz waishio huko bali alikuwa baba mshauri na alikuwa mzalendo mkubwa sana wa kuipenda nchi yake Znz na Tz kijumla.


Upande wangu mimi nilisoma na ndugu yake Majjid skuli moja lakin ndie yeye aliyenipa ushauri nijiunge na Udsm kozi ya BCOM na niachane na Engineering ( kwani form six nilifaulu vizuri sana masomo ya PCM)


Insh'Allah mengi nitaandika baadyn kwa sasa ni budi tuzikubali kadari za muumba kuwa kila kilichoumbwa naye basi kitarejea kwake.


INNA LILLAH WAINNA ILAIHHI RAJIHUNNA

Dr Hamza Yousuf Al Naamani

Shukran mno kwa maneno yako haya yalo mema!

Inna Lillahi Wa Inna Illahi Rajiun!...baki Ya Allah!

Poleni saana Aunt Madiha na Family nyoote hapo nyumbani....huu ni msiba wetu soote!

Insha Allah,Mola tawafanzia sabra na kuwaletea tahfif katika wakti huu mgumu mlonao!

Ahsanta sana.
 
Nilipokea akhabari za masikitiko na khuzuni kubwa za Mzee wangu Mohamed Ahmed Salim maarufu kama BABU EDDY(ndugu yake Salim Ahmed Salim) kilichotokea huko mbweni , unguja siku ya alkhamis mchana tarih 1/5/2014 kutoka kwa ndugu yake Sultan Ahmed Salim ambaye ni diwani kata ya upanga mashariki, Dar.


Namshukuru Allah kwa kuniwezesha kuweza kuwahi kuswalia swala ya janaiz ya Babu Eddy ambaye alikuwa rafiki kipenzi cha almarhum Baba yangu mzazi.


Nitaandika wasifu wake insh’Allah nikirudi Doha leo ijumaapili mchana lakin kwa kifupi kwa wale wazee wa zamani kule Znz watamkumbuka kwa kuwa alikuwa mchezaji mahiri sana wa football lakin vile vile miaka ya mwanzoni mwa 70’s alikuwa head of finance TANESCO makao makuu na miaka ya 80’s alikuwa Head of Finance ETISALAT Abu dhwabi UAE kabla mwaka 1999 kuhamishiwa Zanzibar kuja kuanzisha kampuni ya simu ya ZANTEL Znz kwa kuwa Mtendaji mkuu (CEO).


Kwa walioishi Abu dhwabi ni pigo kubwa sana kwani alikuwa sit u ni kiungo cha waTz waishio huko bali alikuwa baba mshauri na alikuwa mzalendo mkubwa sana wa kuipenda nchi yake Znz na Tz kijumla.


Upande wangu mimi nilisoma na ndugu yake Majjid skuli moja lakin ndie yeye aliyenipa ushauri nijiunge na Udsm kozi ya BCOM na niachane na Engineering ( kwani form six nilifaulu vizuri sana masomo ya PCM)


Insh’Allah mengi nitaandika baadyn kwa sasa ni budi tuzikubali kadari za muumba kuwa kila kilichoumbwa naye basi kitarejea kwake.


INNA LILLAH WAINNA ILAIHHI RAJIHUNNA

Dr Hamza Yousuf Al Naamani

Inna Lillah Wainna Ilayhi Rajioun. Mwenyezi Mungu amlaze peponi - Ameen
 
Inna li Llahi wa Inna ILlahi Rajiun.

We ostazat umeshindwa hata kudesa kwa mwenzio hicho kiawbwagizo cha mwisho? hapa ndo huwa siielewagi hii dini iliyoletwa na majahazi ya mwarabu kila mtu ananena na kuiandika kivyake!
Anyway apumzike salama aliyetutoka na pole kwa mzalendo S.A.S!
 
Dr Kumbe tulikuwa wote mazikoni farewell babu eddy ni mtu aliyewasaidia sana vijana wa kisomi pale zanzibar. Utakumbukwa kwa mengi but moja ucheshi na ukaribu na watu.

Inasikitisha sana watu kama hawa hawagombei nafasi katika siasa but I respect their wishes. Ila ni watu ambao walikuwa na mapenzi ya dhati kwa zanzibar na tanzania kwa ujumla.

Inna lillahi wainna ilaihi rajiun

Shukran Mdondoaji.

Kwani ummati ulikuwa mkubwa sana mash'Allah alipata watu.

Kweli tumempoteza mshahuri mahiri na mzalendo wa dhati katika nafsi.

Insh'Allah nitaweka waswifu wake baadayn nikinafasika.

Inna lillahi wainna ilaihi rajiun

Cc Mohamed said, The Big Show, Ritz, Bobuk, Nguruvi3, mkandara


 
Back
Top Bottom