Barclays wanafanya vibaya sana kwasasa,watu wamechot sana pale mkuu hasa kwenye mikopo,walishindwa kuwa na udhibiti kwenye hili eneo,hasa mikopo ya staff imewaua sana...maana mwanzoni walikuwa wanavutia wafanyakazi kupiti mikopo mikubwa sana....Kimsingi inakaribia kufa kwa upande wa Tanzania...