Barca asiposinda leo nameza kisu!

Barca asiposinda leo nameza kisu!

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
22,477
Reaction score
21,025
Naam kama kawaida yetu palguarana ni mwanzo mwisho kuweka historia this time tunaweka historia ya Crown ya La liga na UEFA,
Lazima ikumbukwe kuwa mechi iliyopita ndo ilikuwa fainali haswa kwetu pale tulipowapiga Ac millan so ni changamoto kwetu hamna kulala na hatutafanya uzembe kama wa mechi ya mwanzo na Ac milan.Tumefanya hivo kwa kuimarisha safu ya ulinzi mzee Abidal ndani ya nyumba,bila kusahau tume sharp mashambulizi na kumuongeza D villa ambaye huwa anasaidiana moja kwa moja na THE KING of football MESSI pamoja na mentality ya wachezaji wetu ambapo tunaweza kusema barca wametoka "jando",kiutabili leo kwa sababu tupo out tutapiga 3 au 2 hivi kisha tunawasubiri next week tumalize game

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Naam kama kawaida yetu palguarana ni mwanzo mwisho kuweka historia this time tunaweka historia ya Crown ya La liga na UEFA,Lazima ikumbukwe kuwa mechi iliyopita ndo ilikuwa fainali haswa kwetu pale tulipowapiga Ac millan so ni changamoto kwetu hamna kulala na hatutafanya uzembe kama wa mechi ya mwanzo na Ac milan.Tumefanya hivo kwa kuimarisha safu ya ulinzi mzee Abidal ndani ya nyumba,bila kusahau tume sharp mashambulizi na kumuongeza D villa ambaye huwa anasaidiana moja kwa moja na THE KING of football MESSI pamoja na mentality ya wachezaji wetu ambapo tunaweza kusema barca wametoka "jando",kiutabili leo kwa sababu tupo out tutapiga 3 au 2 hivi kisha tunawasubiri next week tumalize gameSent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
2po pa1.
 
Naam kama kawaida yetu palguarana ni mwanzo mwisho kuweka historia this time tunaweka historia ya Crown ya La liga na UEFA,
Lazima ikumbukwe kuwa mechi iliyopita ndo ilikuwa fainali haswa kwetu pale tulipowapiga Ac millan so ni changamoto kwetu hamna kulala na hatutafanya uzembe kama wa mechi ya mwanzo na Ac milan.Tumefanya hivo kwa kuimarisha safu ya ulinzi mzee Abidal ndani ya nyumba,bila kusahau tume sharp mashambulizi na kumuongeza D villa ambaye huwa anasaidiana moja kwa moja na THE KING of football MESSI pamoja na mentality ya wachezaji wetu ambapo tunaweza kusema barca wametoka "jando",kiutabili leo kwa sababu tupo out tutapiga 3 au 2 hivi kisha tunawasubiri next week tumalize game

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kumbe kusinda mi nilijua kushinda
 
2-2 ugenini ni ushindi?mbna nyie mashabiki wa man U mlifurahia draw bernabeu na Madrid? Sasa kama ndo tunaimalizia pale Neo camp itakuwa easy tu kama kumsukuma mlevi ,I promise u tunapga 4 bila next week!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
2-2 ugenini ni ushindi?mbna nyie mashabiki wa man U mlifurahia draw bernabeu na Madrid? Sasa kama ndo tunaimalizia pale Neo camp itakuwa easy tu kama kumsukuma mlevi ,I promise u tunapga 4 bila next week!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
wambiye hao 2-2 hio ni ushindi kwa barca camp nou wanakuja kupigwa 3
 
2-2 ugenini ni ushindi?mbna nyie mashabiki wa man U mlifurahia draw bernabeu na Madrid? Sasa kama ndo tunaimalizia pale Neo camp itakuwa easy tu kama kumsukuma mlevi ,I promise u tunapga 4 bila next week!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kisu kimemezeka? Uwanja wa Barca unaitwa Nou Camp (wahispania/wakatalania wanapenda kuuita Camp Nou) mkuu sio Neo Camp... Safari imewadia hawa Barca wameshachoka sasa na zama zao zimekwisha sasa, wajijenge upya kuanzia msimu ujao..
 
naam kama kawaida yetu palguarana ni mwanzo mwisho kuweka historia this time tunaweka historia ya crown ya la liga na uefa,
lazima ikumbukwe kuwa mechi iliyopita ndo ilikuwa fainali haswa kwetu pale tulipowapiga ac millan so ni changamoto kwetu hamna kulala na hatutafanya uzembe kama wa mechi ya mwanzo na ac milan.tumefanya hivo kwa kuimarisha safu ya ulinzi mzee abidal ndani ya nyumba,bila kusahau tume sharp mashambulizi na kumuongeza d villa ambaye huwa anasaidiana moja kwa moja na the king of football messi pamoja na mentality ya wachezaji wetu ambapo tunaweza kusema barca wametoka "jando",kiutabili leo kwa sababu tupo out tutapiga 3 au 2 hivi kisha tunawasubiri next week tumalize game

sent from my blackberry 9300 using jamiiforums



chukua kisu, weka katika kaa la moto na kikishakuwa na wekundu wa kutosha meza. Ntakuja kukagua matokeo ya umezaji wako wa kisu na wala usiwe mbabaishaji. Meza kwa kuwa umeahidi mwekundu
 
Kisu kimemezeka? Uwanja wa Barca unaitwa Nou Camp (wahispania/wakatalania wanapenda kuuita Camp Nou) mkuu sio Neo Camp... Safari imewadia hawa Barca wameshachoka sasa na zama zao zimekwisha sasa, wajijenge upya kuanzia msimu ujao..

Kwani 2-2 ugenini ushindi si wa barcelona?au acheni ushabiki qa kishamba!huo kwanza unafiki unasema zama zao zimeisha wakati La liga ndo wanaongoza!!,Uefa hii ndo mechi ya kwanza!!sasa nn hizo zama wewe ushawahi kutangaza kama ni za Barca?acheni ku quote kutoka maneno ya w.e.hu wenzenu nyie ,PSG wametoa draw mnashangilia sasa kushangilia kwenu nn kama sio ishara ya hofu!!tunawasubiria....Neo-camp pale uwanja unapomwagiwa maji n nyasi zinatereza KIHORO..........

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kisu kimemezeka? Uwanja wa Barca unaitwa Nou Camp (wahispania/wakatalania wanapenda kuuita Camp Nou) mkuu sio Neo Camp... Safari imewadia hawa Barca wameshachoka sasa na zama zao zimekwisha sasa, wajijenge upya kuanzia msimu ujao..

Acha ulimbukeni hizo ni spelling tu!!mpira wenyewe umeanza kushAngilia enzi za chelsea!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ahadi uweke wewe,kucheza wacheze wao! Kimeze

2-2 for barca goli la ugenini ni adv au unafikikiri kwnn kuna idea ya goli la ugenini!!Mfano ikitokea bahati mbaya 1-1 who advances?acha ushabiki wa majimaji nyie hamjua faida ya uwanja wa nyumbani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kisu kimemezeka? Uwanja wa Barca unaitwa Nou Camp (wahispania/wakatalania wanapenda kuuita Camp Nou) mkuu sio Neo Camp... Safari imewadia hawa Barca wameshachoka sasa na zama zao zimekwisha sasa, wajijenge upya kuanzia msimu ujao..
tupe japo sababu 3 za msingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom