Bravius
Member
- Oct 3, 2014
- 23
- 8
Mbona husemi shule zinazofundisha na kuruhani zile za Zanzibar huzitaji??? Au ndo wawaza udini tu???????wa 1 na 2 kitaifa ni waisilamu mbona
Mbona husemi shule zinazofundisha na kuruhani zile za Zanzibar huzitaji??? Au ndo wawaza udini tu???????wa 1 na 2 kitaifa ni waisilamu mbona
Nitajie shule ya kiislamu hapa.shule za kiislamu kwanini zimeshika mkia
sasa two nayo ni ya kushangilia mkuu?au kwenu hakuna alyewah kuwa na record ya walau kupata two?
siyo kweliHabari Wana JF,
Haya watahiniwa mlitihaniwa 2016 jitazameni kama ni Elimu ya juu au diploma, matokeo yenu yapo hewani. Ila three nyingi hazitoenda chuo kikuu. Kwa maana mtu kapata DE, BE na kadhalika.
sio kweliHii serikali ijaribu kutafakali kwa kina.Alama za mwaka huu zimebanwa sana.
2016/2017
A.80_100
B.70_79
C.60_69
D.50_59
E.40_49
Hapa ukiwa na CEE huendi chuo eti mpaka uwe na D mbili.
2014.
A.75_100.
B+.60_64
B.50_59
C.40_49
D.35_39
E.sikumbuki.
Hapa ukiwa na D mbili ulikuwa unaenda chuo
Before 2014
A.75_100
B.65_74
C.55_64
D.45_54
E.35_44
hapa ukiwa na E mbili ulikuwa unaenda chuo.
Bora serikali ingeweka kuja chuo uwe na div 2 kama zamani 2007 huko,lakini kuliko sasa sasa ivi wamewabana sana wanafunzi.
Sio kweli nini?sio kweli
Mpo wachache vs art wengi
ila metia shida
Uwiiiiiiii Aza boy'sMh!
Kweli Azaboy mwaka huu wamejamba!
Exactly!Form six serikalini hawatuangushag