rashid mfaume kawawahuyo mwenye kombati kama za chadema ni nani wakuu
safi sana, asante
Suzan Kolimba ni mtoto wa Horace!marehemu horace kolimba....mze wa "ccm haina dira wala muelekeo".
maneno yake bado yanaishi mpaka leo.
NB:
ni ndugu wa damu na dr. suzan kolimba,naibu waziri wa wizara ya mambo nje katika baraza la mawaziri la JPM.