Baraka za Lowassa zaipa ushindi Taifa stars

Kweli Edward Ngoyai Lowassa, ana Vijana wanaojua kuweka mambo sawa. Hongera Afande Fojuman.
 
Ni mpango wa mungu huyu mzee wa mvi nyeupe na roho nyeupe
 
Magamba watakuja hapa na kudai source.... Hii hapa chini
 

Attachments

  • 1444241136647.jpg
    31.7 KB · Views: 1,106
kweli mkuu na sisi pia tunamtakia ushindi mnene huku tukisubiri kwa hamu siku yenyewe
VIVA UKAWA!!!
 
Hi

Jana mh. Lowassa aliitakia ushindi timu yetu ya taifa kupitia taarifa ya habari ya ITV na hii leo tim yetu imefanikiwa kuigaragaza timu ya Malawi 2-0.


Huyu mh. anaonekana kuwa na baraka sana, shime watanzania tumpe kura..

Umeanza kulipenda Jambazi sugu ulipoambiwa na Mbowe ...... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Raisi amewapa hamasa wachezaji, Magufuli angesema mkifungwa ndio hamna kazi tena.
 
Enyi wapumbavu na malofa, tuachieni michezo, msilete upuuzi wenu huku.
 
Dah Hata Babu Yangu Aliitakia Ushindi Taifa Stars,kwel Babu Yangu Mpango Wa Mungu!!!
 
maombi ya imani huleta majibu chanya
 
Hi

Jana mh. Lowassa aliitakia ushindi timu yetu ya taifa kupitia taarifa ya habari ya ITV na hii leo tim yetu imefanikiwa kuigaragaza timu ya Malawi 2-0.


Huyu mh. anaonekana kuwa na baraka sana, shime watanzania tumpe kura..

Bado kidogo mtamlamba miguu na kumwabudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…