KotelaMamba
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 765
- 1,399
Namaanisha sheria za Barabarani,
Leo walitaka kunilaza ndani.
Nimefuata gari zenye namba za kibalozi! Ilikuwa rahisi hadi niliposimamishwa na Polisi muda mchache baada yakuvuka Mkata.
Barabara ya Dar - Moshi.
Hawa jamaa wako na gari mbili LC 300 wamenikuta Msata kuna kimgahawa pale nimewaacha ila baada ya kama dakika 10, wakanipita kabla yakufika Mandera.
Nikaona ni kampani nzuri nikaunga nyuma yao, hawajali 50 kabisa.
Niliweza mwendo wao kwasababu Speed yao ilikuwa moderate sana 120kph-150kph .
Wao mbele mimi nyuma, hakuna Traffic anayewapiga mkono, vuka Kimange, vuka Mbwewe!
Tumevuka Mkata, mbele kabisa, naona Police amesogea road kabisa akawataka wale jamaa wapunguze mwendo, Kumbe lengo lilikuwa ni mimi, jamaa walivyopunguza mwendo traffic akafanikiwa akanisogeza pembeni! Washkaji wakaondoka zao.
Mitifuano ya kisheria ikaanza baina yangu na Police, kosa langu ilikuwa overspeed, wakati kuna wenzangu wao hilo haliwahusu kabisa.
Mkuu wa kituo waliponirudisha (ilibidi nipelekwe) akaniambia wenzio wana Immunity, sio kila kitu cha kuiga.
Nimelipa fine japo kwa tabu sana.
Nauliza hizi Immunity zinawaweka wengine juu ya sheria? Why
Leo walitaka kunilaza ndani.
Nimefuata gari zenye namba za kibalozi! Ilikuwa rahisi hadi niliposimamishwa na Polisi muda mchache baada yakuvuka Mkata.
Barabara ya Dar - Moshi.
Hawa jamaa wako na gari mbili LC 300 wamenikuta Msata kuna kimgahawa pale nimewaacha ila baada ya kama dakika 10, wakanipita kabla yakufika Mandera.
Nikaona ni kampani nzuri nikaunga nyuma yao, hawajali 50 kabisa.
Niliweza mwendo wao kwasababu Speed yao ilikuwa moderate sana 120kph-150kph .
Wao mbele mimi nyuma, hakuna Traffic anayewapiga mkono, vuka Kimange, vuka Mbwewe!
Tumevuka Mkata, mbele kabisa, naona Police amesogea road kabisa akawataka wale jamaa wapunguze mwendo, Kumbe lengo lilikuwa ni mimi, jamaa walivyopunguza mwendo traffic akafanikiwa akanisogeza pembeni! Washkaji wakaondoka zao.
Mitifuano ya kisheria ikaanza baina yangu na Police, kosa langu ilikuwa overspeed, wakati kuna wenzangu wao hilo haliwahusu kabisa.
Mkuu wa kituo waliponirudisha (ilibidi nipelekwe) akaniambia wenzio wana Immunity, sio kila kitu cha kuiga.
Nimelipa fine japo kwa tabu sana.
Nauliza hizi Immunity zinawaweka wengine juu ya sheria? Why