Jamani acheni utani kufika huko hapa Tanzania ni ndoto, kuna kipindi nilikuwepo huko USA mhhhh!! Nilikuwa nashangaa bara bara zao, sijui hata walijengaje. Na hizi zilizopo hapa kwenye picha ni cha mtoto, kuna nyingine ni balaa hasa miji ya New York na New Jersey na CA.
Priority ya serikali yetu ni nini? mimi kwa mtazamo wangu bado tupo kwenye kipindi ambacho viongozi uchara tulionao wanajilimbikizia mara hawana malengo ya kujenga nchi, hata kama ni taifa changa lakini tungekuwa tunavitu ambavyo vinatuonyesha direction ya kuendelea. kama tunagawa natural resources zetu unategemea tutaendelea. Kwa mfano sasa hivi tymeishauza loliondo kwa waarabu (hata ukienda huke ukifika maeneo ya mbuga simu yako itakwambia wellcome to UAE). Inashangaza sana. Unafikiri pesa za kujenga mabarabara sitatoka wapi kama hatutatumia tulichonacho?
Si itakuwa ni aibu kweli kweli, Me si dhani ni lazima tujenge barabara za juu ni kuna haja ya ku plani miji yetu upya au nje ya miji yetu ndipo tuhakikishe bara bara zapanuliwa vya kutosha na kuziboresha vyema. Kwa mfano kuna mkoa gani utaweka barabar ya juuu Dar?? Mwanza??Arusha??Mbeya??Dodoma?? Nchi nzima bado ina maeneo makubwa tu esp mijini ni swala la cities planing basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.