kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 855
Katika siku za karibuni barabara hii imeonyesha wazi kuwa imezidiwa na magari kiasi cha kusababisha foleni ndefu ya magari.
Barabara hii ilikuwa kiungo kizuri kwa watumiaji wanaotokea Ubungo kwenda uelekeo wa Bagamoyo. Lazima nikiri kuwa nami ni mtumiaji mkubwa wa barabara hii. Lakini sasa tunapata adha kubwa ya kukaa foleni zaidi ya saa 2 kati ya Mwenge na Ubungo.
Ni vema sasa barabara hii ikapanuliwa iwe na njia nne kila upande ili kupunguza foleni.
Barabara hii ilikuwa kiungo kizuri kwa watumiaji wanaotokea Ubungo kwenda uelekeo wa Bagamoyo. Lazima nikiri kuwa nami ni mtumiaji mkubwa wa barabara hii. Lakini sasa tunapata adha kubwa ya kukaa foleni zaidi ya saa 2 kati ya Mwenge na Ubungo.
Ni vema sasa barabara hii ikapanuliwa iwe na njia nne kila upande ili kupunguza foleni.