Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
Huyu Msigwa ni mwehu kabisa kwa wanao tumia barabara ya kimara-Kibaha wanajua fika serikali imekwama na hakuna watu site kama zamani..hii barbara ilianza kuyumba mwenzi wa nne ..ni kama kuna shida.. barabara imefika asilimia 94 yani asilimia 6 serikali imeshindwa kabisa.... kweli ujenzi wa SGR, bwawa la umeme na mambo mengine wataweza?
Hivi watanzania tumerogwa na nani? Hivi msigwa anapingana vipi na mtendaji mkuu wa Tanroads amabaye yuko jikonoi?
Msigwa anafikiri watanzania hawatumii hiyo barabara? Msigwa wewe ndio unapotosha ukweli ni kwamba barabara imekwama
Hivi watanzania tumerogwa na nani? Hivi msigwa anapingana vipi na mtendaji mkuu wa Tanroads amabaye yuko jikonoi?
Msigwa anafikiri watanzania hawatumii hiyo barabara? Msigwa wewe ndio unapotosha ukweli ni kwamba barabara imekwama