Barabara ya Moshi Arusha yafungwa

Barabara ya Moshi Arusha yafungwa

Comi

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
3,328
Reaction score
958
Barabara ya moshi arusha yafungwa kwa muda ni maeneo ya ngulelo. Sakata hilo limetokea baada ya mmoja kati ya mpiga debe wa kituo cha ngulelo ambaye mda mwingine ni dereva toyo almaarufu kama tolu kukutwa amedumbukizwa ndani ya mtaro wa maji machafu. Kwa habari nilizozipata ni kuwa usiku wa jana mara ya mwisho aliondoka akiwa na pikipiki almaarufu kama toyo. Waendesha toyo hao wamefikia hatua hiyo baada ya kutoa taarifa polisi tokea alfajiri ya leo na hadi mda huu polisi walikuwa hawajawasili kuutoa mwili huo mtaroni
 
Duuu boda boda nao wana umoja wa vurugu tu kila sehemu,ni bomu linalokua taratibu wakianzisha chama chao cha siasa kazi kubwa ipo maana ndio nguvu kazi yoote ya taifa ipo hapo wanapiga boda boda deals.....
 
Jana ilikuwa ni noma jiji la Arusha, possibility ya uharamia iliongezeka kama mara mbili hivi. Kwa hiyo kwa waendesha Toyo jana ilikuwa ni siku ya kumake meanwhile ya kuwa makini sana.
 
Polisi yaTz ni janga la kitaifa. Taarifa kuanzia alfajiri lkn hawajafika kwenye eneo la tukio mpaka sasa?.
 
R.I.P TOLU policcm adi waamrishiwe na ADENGENYICCM. SHAME ON THEM
 
R. I. P. TOLU. ila tunawaomba bodaboda msifanye fujo subirini taarifa kamili nini chanzo cahake.
 
Back
Top Bottom