Isac M
Senior Member
- Mar 9, 2014
- 113
- 76
Hii barabara imekithili kwa ajali zinazopoteza maisha ya watanzania, na wengine kuachwa na ulemavu.
Kwanini daladala, bajaji hazipaki kwenye sehemu ya kituo, zinapaki barabarani ilihali vituo ni vikubwa? na ajabu askari huwepo wakiangalia tu.
Leo imetokea ajali Kimara Suka iliyopoteza maisha ya raia wakiwemo wanafunzi, kwa uzembe wa kupaki barabarani Daladala na bajaji.
Ajali zimekithiri barabara hii. Wahusika waiangalie barabara hii kwa jicho la dharura.
Kwanini daladala, bajaji hazipaki kwenye sehemu ya kituo, zinapaki barabarani ilihali vituo ni vikubwa? na ajabu askari huwepo wakiangalia tu.
Leo imetokea ajali Kimara Suka iliyopoteza maisha ya raia wakiwemo wanafunzi, kwa uzembe wa kupaki barabarani Daladala na bajaji.
Ajali zimekithiri barabara hii. Wahusika waiangalie barabara hii kwa jicho la dharura.