Elusive
JF-Expert Member
- Nov 26, 2008
- 223
- 4
Barabara haijamalizika kujengwa wala haijakabidhiwa rasmi kwa wahusika mshaanza kuiponda, hebu kuweni na subra kidogo, akaa.
Na mimi naunga mkono hawa jamaa bado hawajakabidhi rasmi hii barabara, wanachofanya sasa ni kuwa wanaangalia mapungufu na kuyarekebisha kuweza kupata barabara iliyo bora lakini wananchi kwa vile wameruhusiwa kuitumia barabara ile wanafikiri tayari imemalizika. Kuweni na Subira.