KERO Barabara ya Chelesi - Kisiwani Halmashauri ya Mji Makambako (Njombe) ni mbovu sana, viongozi wameipuuzia

KERO Barabara ya Chelesi - Kisiwani Halmashauri ya Mji Makambako (Njombe) ni mbovu sana, viongozi wameipuuzia

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari wana JF, kuna siku niliwahi kuleta changamoto yangu juu ya ubovu wa barabara ya kutoka Chelesi – Kisiwani (zamani Kibedange) Halmashauri ya Mji Makambako.

Kiukweli barabara ni mbovu sana hasa kwa nyakati hizi ambazo mvua inanyesha, tunapitia nyakati ngumu sana katika kupita hiyo njia.

Na uongozi au viongozi waliopo ni hawazingatii hilo, ila ni sehemu ambayo inatakiwa kuangaliwa sana kwa jicho la tatu maana ubovu wa hii barabara unaonekana wazi bila kificho.

Asanteni.
PXL_20260121_043214539.jpg

PXL_20260121_042956658.jpg

PXL_20260121_043159456.jpg

PXL_20260121_043132214.jpg

PXL_20260121_043128664.jpg

PXL_20260121_043125484.jpg
 

Attachments

  • PXL_20260121_043136631.jpg
    PXL_20260121_043136631.jpg
    481.3 KB · Views: 6
  • PXL_20260121_043122850.jpg
    PXL_20260121_043122850.jpg
    542.6 KB · Views: 6
  • PXL_20260121_043004338.jpg
    PXL_20260121_043004338.jpg
    747.4 KB · Views: 5
  • PXL_20260121_042956658.jpg
    PXL_20260121_042956658.jpg
    628.5 KB · Views: 6
  • PXL_20260121_042945329.jpg
    PXL_20260121_042945329.jpg
    572.2 KB · Views: 5
Back
Top Bottom