Barabara mpya Kijichi

Barabara mpya Kijichi

Kwahiyo anayemkomalia mkandarasi mradi uishe ni nani?,waziri wa ujenzi aliyepita?, nawewe ukiondoa siasa kichwani mwako utanielewa.
Nani kakwambia mradi uko chini ya wizara ya ujenzi? Kanywe maji ulale.
 
Bora hivo...mitaro ikiwa pande mbili kwa barabara za lane 2 zinakua finyu sana ila mtaro mmoja unaongeza nafasi ya barabara
 
Back
Top Bottom