Barabara mpya Kijichi

Barabara mpya Kijichi

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,556
Tunapongeza ujenzi unaoendelea huu wa Bara Bara za kiwango cha Lami huku mtoni kijichi ila wasiwasi wangu ni style ya kuchimbiwa mifereji upande mmoja tu wa Bara Bara nina wasiwasi hili lisije leta majanga huko mbele
Nahisi ujenzi wa mtaro upande mmoja wa barabara utaleta mafuriko katika baadhi ya mitaa kwa vile barabara zinanyanyuliwa sana na Pia itachangia barabara hizi kuharibika mapema kwa kukosa kingo upande mmoja.
Wahusika manispaa liangalieni hili.
 
Tunapongeza ujenzi unaoendelea huu wa Bara Bara za kiwango cha Lami huku mtoni kijichi ila wasiwasi wangu ni style ya kuchimbiwa mifereji upande mmoja tu wa Bara Bara nina wasiwasi hili lisije leta majanga huko mbele
Nahisi ujenzi wa mtaro upande mmoja wa barabara utaleta mafuriko katika baadhi ya mitaa kwa vile barabara zinanyanyuliwa sana na Pia itachangia barabara hizi kuharibika mapema kwa kukosa kingo upande mmoja.
Wahusika manispaa liangalieni hili.
Bara Bara ni mtambo wa nini?
 
Ila wamekosea bana.. Wangeanza tengeneza misheni ndio ingependeza zaidi..
 
Mpe Kikwete sifa yake tafadhali. Sio mradi wa kipindi cha Magu huu
 
Tunapongeza ujenzi unaoendelea huu wa Bara Bara za kiwango cha Lami huku mtoni kijichi ila wasiwasi wangu ni style ya kuchimbiwa mifereji upande mmoja tu wa Bara Bara nina wasiwasi hili lisije leta majanga huko mbele
Nahisi ujenzi wa mtaro upande mmoja wa barabara utaleta mafuriko katika baadhi ya mitaa kwa vile barabara zinanyanyuliwa sana na Pia itachangia barabara hizi kuharibika mapema kwa kukosa kingo upande mmoja.
Wahusika manispaa liangalieni hili.
Mkuu wale wachina wapo speed sana ni wa kupewa pongezi, kuhusu mitaro ondoa Shaka hata upande mmoja unatosha hakuna mafuriko yanaweza tokea Kijichi ipo juu juu ni Sawa na kutegemea mafuriko Makongo juu halafu sehemu kubwa Ina mchanga unafyonza maji ndo maana wanatapata shida kujaza udongo kote toka sehemu nyingine kwaajili ya stability,.Wameshaliona hilo.Inasemekana ela za barabara hizi zilikuwa zinatolewa huko nyuma watu wanazipindisha ila zamu hii haziliki za MOTO.
 
Mkuu wale wachina wapo speed sana ni wa kupewa pongezi, kuhusu mitaro ondoa Shaka hata upande mmoja unatosha hakuna mafuriko yanaweza tokea Kijichi ipo juu juu ni Sawa na kutegemea mafuriko Makongo juu halafu sehemu kubwa Ina mchanga unafyonza maji ndo maana wanatapata shida kujaza udongo kote toka sehemu nyingine kwaajili ya stability,.Wameshaliona hilo.Inasemekana ela za barabara hizi zilikuwa zinatolewa huko nyuma watu wanazipindisha ila zamu hii haziliki za MOTO.
Ilikuwa ziwe zimekamilika sawa na kituo cha afya
 
Mpe Kikwete sifa yake tafadhali. Sio mradi wa kipindi cha Magu huu
Muwe mnatumia japo akili kidogo, mradi wa kipindi cha JK ulishindwaje kuisha kipindi chake na nni kilometa chache?,unajua hela za hizi barabara zilishatoka huko nyuma zikaliwa serikali ya huyo unayemsema JK?,. Wakati mwingine ficheni ujinga wenu.Ndo nyie mwaweza kuja hapa kusema hatutaki hizo barabara tunataka demokrasia mmemezeshwa upumbavu na wanasiasa.
 
Na wewe utumie akili usione kila anaeandika anaandika kisiasa. Naandika sababu najua kila kitu. Huu mradi ni wa WB na ulianza 2014. Mscheewww. Usipende kubisha bisha na kuleta story zako za kisiasa. Hizo hela zilitoka kwenye mifuko yako au? Hujui kitu. Kajifunze kuhusu DMDP ndo ulete porojo zako tena.
Muwe mnatumia japo akili kidogo, mradi wa kipindi cha JK ulishindwaje kuisha kipindi chake na nni kilometa chache?,unajua hela za hizi barabara zilishatoka huko nyuma zikaliwa serikali ya huyo unayemsema JK?,. Wakati mwingine ficheni ujinga wenu.Ndo nyie mwaweza kuja hapa kusema hatutaki hizo barabara tunataka demokrasia mmemezeshwa upumbavu na wanasiasa.
 
Na wewe utumie akili usione kila anaeandika anaandika kisiasa. Naandika sababu najua kila kitu. Huu mradi ni wa WB na ulianza 2014. Mscheewww. Usipende kubisha bisha na kuleta story zako za kisiasa. Hizo hela zilitoka kwenye mifuko yako au? Hujui kitu. Kajifunze kuhusu DMDP ndo ulete porojo zako tena.
Kwahiyo anayemkomalia mkandarasi mradi uishe ni nani?,waziri wa ujenzi aliyepita?, nawewe ukiondoa siasa kichwani mwako utanielewa.
 
Back
Top Bottom