Bara bara ya zege mradi wa mabasi ya haraka

Bara bara ya zege mradi wa mabasi ya haraka

Mimi bado haingii akilini kwa haya mabus kuwa na vituo na kupita katikati ya lane nne (mbili kushoto, mbili kulia). Je utaratibu gani umefanywa kuhakikisha watoto wadogo, wagonjwa na vikongwe wanasaidiwa kuvuuka barabara salama kwenda kupanda / mara baada ya kushushwa na mabus haya???

View attachment 76816


Mama Mdogo, kuwa kuna Ngazi za juu, kama picha inavyo onyesha upande wa kulia au kama zile za Pale Mazense Dar, Ingawa nilikuwa pale kabla hazijajengwa, that is how they do it, in contrast, wanachimba chini na kuna kuwa na underpath kama tunnels. So huwa hakuma Zebra Lines. Hii yote ni kupungiza foleni kwa kuweta taa. Mfano mwingine ni ule wa fyl-overs, sababu ni hizo hizo kupunguza foleni zinato tokana na T Lights ambao zimepitwa na wakati katika miji fulani fulani.
 
Mama Mdogo, kuwa kuna Ngazi za juu, kama picha inavyo onyesha upande wa kulia au kama zile za Pale Mazense Dar, Ingawa nilikuwa pale kabla hazijajengwa, that is how they do it, in contrast, wanachimba chini na kuna kuwa na underpath kama tunnels. So huwa hakuma Zebra Lines. Hii yote ni kupungiza foleni kwa kuweta taa. Mfano mwingine ni ule wa fyl-overs, sababu ni hizo hizo kupunguza foleni zinato tokana na T Lights ambao zimepitwa na wakati katika miji fulani fulani.

Ila kuwa na Alama za pundamilia haliepukiki kwa kuwa si wote wataweza pita kwa kupanda ngazi za juu au kupita chini ya Tunnels.kwa kuwa ni walemavu.Nimeona kivuko pale Kimara mwisho kinachojengwa wao wameweka kipandio kisicho kuwa na Ngazi ili iwe rahisi kupanda kwa walemavu wanaotumia baiskeli ila kazi itakuwa wakati wa kushuka slope na kasi ya baiskeli itakuwa tatizo hivyo suala la kuweka Alama za pundamilia bado haliepukiki ili kujali na watu wengine wenye mahitaji maalum.
 
Back
Top Bottom