M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Kuna taarifa zimetolewa kama Breking news kwenye radio one kuwa kuna bar moja kubwa na maarufu huko Zanzibar imeteketezwa kwa moto, inasemekana ni bar ya nne kuteketezwa katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu.,mlio huko Zenji hebu mtujuze kinachoendelea.