Wandugu, Kuna Bar Mbili Maarufu masaki zinatazamana maeneo ya kilima Nyege, Yaani ukiingia Bar hizo kama wewe mgeni wahudi wanakupokea kama mfalme kuanzia unapo ingia.
Mimi mwanzoni nilifikiri ni ukarimu wa hawa wahudumu kumbe ni njia ya kukulegeza ndio wakupige vizuri kwenye bili hasa vyakula.
I wish I could name these Bars but let me spare them for now.
Mimi mwanzoni nilifikiri ni ukarimu wa hawa wahudumu kumbe ni njia ya kukulegeza ndio wakupige vizuri kwenye bili hasa vyakula.
I wish I could name these Bars but let me spare them for now.