Bar/hotel zinazoongoza kwa wahudumu kuwaibia wateja

Bar/hotel zinazoongoza kwa wahudumu kuwaibia wateja

Baisha

Member
Joined
Dec 17, 2008
Posts
35
Reaction score
3
imekuwa kero sana kwa wateja wengi kuibiwa/kubambikiwa bill(hasa upande wa chakula) na wahudumu...hebu tuweke wazi bar/hotel ambazo ni vinara wa Hii kitu,ili tuwe makini tunapofika hayo maeneo.tatu bora yangu ni...
1. Rose garden
2. break point
3.coco...
 
ulivyotaja break point umenikumbusha jamaa yang alichukuaga madem wawili nakwenda nayo gheto wako tungi mbaya madem yakamchomolea jamaa elf50 usiku, jamaa naye bila kujua hakamka usiku akachomoa elf 40 kwenye pochi yao akijua kawaibia, asubuh akawapa elf20 kama malipo na supu juu, baadaye akatambua aliibiwa kishenz naye
 
ulivyotaja break point umenikumbusha jamaa yang alichukuaga madem wawili nakwenda nayo gheto wako tungi mbaya madem yakamchomolea jamaa elf50 usiku, jamaa naye bila kujua hakamka usiku akachomoa elf 40 kwenye pochi yao akijua kawaibia, asubuh akawapa elf20 kama malipo na supu juu, baadaye akatambua aliibiwa kishenz naye

threesome?au ?
 
Back
Top Bottom