Bao la Kete, unatumia kidole gani?

Bao la Kete, unatumia kidole gani?

Nimefikiria hilo sana lakini naona namna ya uwakilishaji bado haijakidhi alotaka kutuhusisha...

Hapa labda tuchambue kama ifuatavyo, kuna Bao, Kete, Wachezaji wawili.

Bao linatoa fursa ya matundu ili mchezo uchezwe.

Uwepo wa kete unafanya uwepo wa mchezo au hutoa jina la mchezo.

Wqchezaji hawa hutumia nyenzo ya kidole kidondosha kete na vidole kubeba kete.

Moja.
Bao la kete lina matundu mengi, lakini tundu liliwalo ni moja tu.

"Bao la kete" lina tundu moja tu lenye kuhitaji kuliwa.

Mbili.
Bao la kete lina wachezaji wawili ambao wote wana fursa ya kula kete.

"Bao la kete" lina mchezaji mmoja tu mwenye fursa adhimu ya kula kete na amalizapo mchezo(afungapo goli), zigo la kete zake hulibwaga hapo hapo tunduni.

Tatu.
Bao la kete waweza kula mtaji wa mchezaji mwenzako toka tundu lolote utalotulia na kete ya mwisho.

"Bao la kete" halina kula mtaji bali kuliwa mtaji, chovya chovya ya dole tunduni ndio huleta kizaazaa chote hicho cha kubwaga kete zote tunduni na mtaji kuliwa.

Sasa sijui umenielewa? (Kwa sauti ya Kihaya)[/QUOTE



Hewala baba,

nimekuelewa kuwa haya ni mambo ya pwani!!!!!!
 
Sisi wabara acheni tuzubae tu, ngoja nikopy na kupaste kisha nimtumie mzee wangu yupo kijiwe cha kahawa pale mazense darajani anidadavulie kisha nije kutia timu nikiwa full.
 
Nimefikiria hilo sana lakini naona namna ya uwakilishaji bado haijakidhi alotaka kutuhusisha...

Hapa labda tuchambue kama ifuatavyo, kuna Bao, Kete, Wachezaji wawili.

Bao linatoa fursa ya matundu ili mchezo uchezwe.

Uwepo wa kete unafanya uwepo wa mchezo au hutoa jina la mchezo.

Wqchezaji hawa hutumia nyenzo ya kidole kidondosha kete na vidole kubeba kete.

Moja.
Bao la kete lina matundu mengi, lakini tundu liliwalo ni moja tu.

"Bao la kete" lina tundu moja tu lenye kuhitaji kuliwa.

Mbili.
Bao la kete lina wachezaji wawili ambao wote wana fursa ya kula kete.

"Bao la kete" lina mchezaji mmoja tu mwenye fursa adhimu ya kula kete na amalizapo mchezo(afungapo goli), zigo la kete zake hulibwaga hapo hapo tunduni.

Tatu.
Bao la kete waweza kula mtaji wa mchezaji mwenzako toka tundu lolote utalotulia na kete ya mwisho.

"Bao la kete" halina kula mtaji bali kuliwa mtaji, chovya chovya ya dole tunduni ndio huleta kizaazaa chote hicho cha kubwaga kete zote tunduni na mtaji kuliwa.

Sasa sijui umenielewa? (Kwa sauti ya Kihaya)
huku ni kuchezea muda wa mwajiri
 
kama waandishi wangekuwa wanawasilisha nyuzi zao kama hivi mngenusuru watoto wa shule walio jaa humu jf. hongera mkuu kwa ukomavu wako maana uzi huu kuuelewa unahitaji mtu anayefiki zaidi ya anavyofikiri!
 
Nimefikiria hilo sana lakini naona namna ya uwakilishaji bado haijakidhi alotaka kutuhusisha...

Hapa labda tuchambue kama ifuatavyo, kuna Bao, Kete, Wachezaji wawili.

Bao linatoa fursa ya matundu ili mchezo uchezwe.

Uwepo wa kete unafanya uwepo wa mchezo au hutoa jina la mchezo.

Wqchezaji hawa hutumia nyenzo ya kidole kidondosha kete na vidole kubeba kete.

Moja.
Bao la kete lina matundu mengi, lakini tundu liliwalo ni moja tu.

"Bao la kete" lina tundu moja tu lenye kuhitaji kuliwa.

Mbili.
Bao la kete lina wachezaji wawili ambao wote wana fursa ya kula kete.

"Bao la kete" lina mchezaji mmoja tu mwenye fursa adhimu ya kula kete na amalizapo mchezo(afungapo goli), zigo la kete zake hulibwaga hapo hapo tunduni.

Tatu.
Bao la kete waweza kula mtaji wa mchezaji mwenzako toka tundu lolote utalotulia na kete ya mwisho.

"Bao la kete" halina kula mtaji bali kuliwa mtaji, chovya chovya ya dole tunduni ndio huleta kizaazaa chote hicho cha kubwaga kete zote tunduni na mtaji kuliwa.

Sasa sijui umenielewa? (Kwa sauti ya Kihaya)

Mkuu Watu8 heshima kwako. Nakupa 80%, nyingine usimalizie mpaka watoto watakapolala.

Heshima mkuu!!
 
huku ni kuchezea muda wa mwajiri

Mkuu si wote wameajiriwa, wengine wamejiajiri.
Si wote watumia internet wako katika ajira, wengine ni wanafunzi, wazee wastaafu, waliopunguzwa/waliofukuzwa kazini pia wapo watafuta kazi.
 
Muuza kahawa, naomba upitishe kikombe kimoja kwa kila mtu na kashata mojamoja bili kwangu. Naona wacheza bao wanasinzia.
 
Hewala baba,

nimekuelewa kuwa haya ni mambo ya pwani!!!!!!

Swadakta maalimu...

Lugha ni yetu lazima tujue namna ya kutumia vyema tamathali za semi...
 
Mkuu Watu8 heshima kwako. Nakupa 80%, nyingine usimalizie mpaka watoto watakapolala.

Heshima mkuu!!

Heshima kwako mkuu pia kwa kuibua hili ingawaje kajukwaa ketu haka ukifunguka sana wakuu hawakawii kuhamisha jamvi hadi Jukwaa la Wakubwa huko...
 
Heshima kwako mkuu pia kwa kuibua hili ingawaje kajukwaa ketu haka ukifunguka sana wakuu hawakawii kuhamisha jamvi hadi Jukwaa la Wakubwa huko...

Bwan shem watu8 sasa toa jibu katika yote hayo dole gan latumika zaidi!???
 
Last edited by a moderator:
nyie ndio mnaotafutwa na mzee kifimbo cheza kwa kuharibu lugha.
 
nyie ndio mnaotafutwa na mzee kifimbo cheza kwa kuharibu lugha.

Kijana wapi tulipoharibu lugha?

Nyie watoto wa leo mmeharibu lugha hadi kwenye taarabu. Zamani taarabu inaimbwa kwa tafsida na tashdida kibao, watoto hawaelewi kitu, ila watu wazima wenye akili zilizofundwa tu. Leo mwaweka wazi kila kitu hata katoto ka chekechea kanaelewa kila kitu..si upuuzi huo.

Nanyi mwasimama na kujivunia mwaijua lugha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom