Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,935
- 1,006
Heshima kwenu wana-MMU, wakongwe kwa wapya!!
Naomba kupokea maarifa yenu mnapocheza "bao la kete" mnatumia kidole gani kuokota na kudondoshea kete. Huku kwenye kijiwe cha kahawa wanasema kunastarehe yake kuziokota na kuzidondosha hizo kete kwa kidole atiii.
Kama haitoshi, unapokula mtaji wa mwenzako/mpinzani wako unatumia mikono yote miwili au mmoja? Kama mmoja huwa unapendelea upi?
Naomba kupokea maarifa yenu mnapocheza "bao la kete" mnatumia kidole gani kuokota na kudondoshea kete. Huku kwenye kijiwe cha kahawa wanasema kunastarehe yake kuziokota na kuzidondosha hizo kete kwa kidole atiii.
Kama haitoshi, unapokula mtaji wa mwenzako/mpinzani wako unatumia mikono yote miwili au mmoja? Kama mmoja huwa unapendelea upi?