makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,429
- 108,441
Nasikiliza ngoma zake kadhaa hapa, nimekumbuka miaka kadhaa nyuma, huyu jamaa alikuwa fundi mnoo, tungo zake bora kabisa, anaimba, anapiga vifaa(ngoma) na ku-rap juu.
Kwangu mimi alikuwa ni mwanamziki bora katika aina ya muziki aliokuwa anafanya kwangu mimi alikuwa bora zaidi ya wale wenzie mafahari wawili (Muumin na Ali Choki)
Kazi aliyoifanya akiwa Twanga Pepeta kisha kule kwa marehemu captain komba ni kubwa mnoo, tungo zake zilikuwa matata saana, rap zake zilikuwa murua mnoo.
Duniani wanadamu tunakosea na kufanya mazuri pia, Mola ndio anajua wapi tunastahili, mimi siwezi kumuhukumu, namuombea Mola amsamehe pale alipokosea amfanyie tahfifu huko.
Amuweke mahala pema.
Kwangu mimi alikuwa ni mwanamziki bora katika aina ya muziki aliokuwa anafanya kwangu mimi alikuwa bora zaidi ya wale wenzie mafahari wawili (Muumin na Ali Choki)
Kazi aliyoifanya akiwa Twanga Pepeta kisha kule kwa marehemu captain komba ni kubwa mnoo, tungo zake zilikuwa matata saana, rap zake zilikuwa murua mnoo.
Duniani wanadamu tunakosea na kufanya mazuri pia, Mola ndio anajua wapi tunastahili, mimi siwezi kumuhukumu, namuombea Mola amsamehe pale alipokosea amfanyie tahfifu huko.
Amuweke mahala pema.