Banksy: Leo amechora kwenye jengo la mahakamani

Banksy: Leo amechora kwenye jengo la mahakamani

Teknocrat

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
7,946
Reaction score
15,702
Huyu jamaa ni kama mzuka

Mkiamka mnakuta picha imechorwa inatafsiri mwenendo wa nchi

Jana usiku allikuwa mahakamani kama kazi, walinzi wanaamka wanakuta mchoro...

Naona huu ujumbe leo unatuhusu, japo picha imechorwa London, UK
1757359729570.png
 
Back
Top Bottom