Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Tangu mwezi jana kila nikiingia kwenye account yangu nakuta pesa inapungua kidogo kidogo, hzi pesa zinaenda wapi wakati charge ya mwez najua huwa wananikata 3000 kila mwezi?? Sijaingia muda kuangalia salio ajabu leo nimekuta kiasi kikubwa hakipo, nawapigia hawapokei sim, wana maana gani??
Na hata nikiamisha pesa kutoka Acc yangu ya NMB kwenda kwenye acc nyingine ya NMB huku kwangu inatoka ila kwa mlengwa inafika nusu, hii nin lakin.
Na hata nikiamisha pesa kutoka Acc yangu ya NMB kwenda kwenye acc nyingine ya NMB huku kwangu inatoka ila kwa mlengwa inafika nusu, hii nin lakin.