Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 374
- 483
Anaefahamu jinsi yakupata swift comfimation za adsense bank wanataka hizo swift confimation kutoka kwa adsense waliotuma Sijawai toa pesa kwa wire transfer ni mala ya kwanza
cjuiMala, au mara?
Umetumiwa pesa kwa njia gani?Anaefahamu jinsi yakupata swift comfimation za adsense bank wanataka hizo swift confimation kutoka kwa adsense waliotuma Sijawai toa pesa kwa wire transfer ni mala ya kwanza
wire transferUmetumiwa pesa kwa njia gani?
wire transfer
sio swift code si najaza mimi kwa sehemu anae taka kutumia bank wanataka swift confimationSasa umetumiwaje bila swift code? Maana ili utumiwe lazima ujaze swift code..
Eleza vizuri, kwanza ni bank gani?!
Muulize aliyekutumia pesa.sio swift code si najaza mimi kwa sehemu anae taka kutumia bank wanataka swift confimation
adsense doo hawajibuuMuulize aliyekutumia pesa.
Hawa wanakusumbua, kama ni wire transfer wewe ndo unampa mtumaji swift code, siyo wewe utoe swift code ya aliyetuma haiko hivyo, kama ela katuma imefika tanzania wao watakuwa wana details za ilikotoka sasa uwapeswift code ya mtumaji ili iweje na wakati wewe hahitaji kuwa na swift code ya mtumaji.Anaefahamu jinsi yakupata swift comfimation za adsense bank wanataka hizo swift confimation kutoka kwa adsense waliotuma Sijawai toa pesa kwa wire transfer ni mala ya kwanza
Hawa wanakusumbua, kama ni wire transfer wewe ndo unampa mtumaji swift code, siyo wewe utoe swift code ya aliyetuma haiko hivyo, kama ela katuma imefika tanzania wao watakuwa wana details za ilikotoka sasa uwapeswift code ya mtumaji ili iweje na wakati wewe hahitaji kuwa na swift code ya mtumaji.
Unajua kuna wafanyakazi bank vilaza na kwenye mitandao ya simu hawana hata basics ya huduma wanazotoa halafu ukutanae na mtu wa namna hiyo awe hajui na hajui kuwa hajui. Atakueleza ujinga na kila ukijaribu kumwelewesha anakuwa mbogo kisa yeye anafanya kazi bank.Ndo maana nimemuuliza ni bank gani? Pengine kakutana na mtu ambaye haelewi chochote..
Kwanza hela ya adsense inaingia direct kwenye acc..
Sijui hao jamaa wanamdai code zipi?
wananidai swiftconfimation nilienda na simu yakngu na rissiti ya adsense akabofays bofya kwa computer akanidai swift confimationUnajua kuna wafanyakazi bank vilaza na kwenye mitandao ya simu hawana hata basics ya huduma wanazotoa halafu ukutanae na mtu wa namna hiyo awe hajui na hajui kuwa hajui. Atakueleza ujinga na kila ukijaribu kumwelewesha anakuwa mbogo kisa yeye anafanya kazi bank.
Sijawahi kutana na kitu kama hicho na nimeanza pokeapesa toka nje kwa bank wire toka 2012 japo siku hizi siitumii tena ina makato nauchelwashaji lakini hakuna kitu kama hichowananidai swiftconfimation nilienda na simu yakngu na rissiti ya adsense akabofays bofya kwa computer akanidai swift confimation
Hapo wanataka message acknowledgement kwamba muamala umetoka kwa AdSense kwenda bank, ni kama risiti hivi. So hiyo message acknowledgement ni ujumbe wa muamala kufika.wananidai swiftconfimation nilienda na simu yakngu na rissiti ya adsense akabofays bofya kwa computer akanidai swift confimation
naipatia wapi hiooHapo wanataka message acknowledgement kwamba muamala umetoka kwa AdSense kwenda bank, ni kama risiti hivi. So hiyo message acknowledgement ni ujumbe wa muamala kufika.
Swift confirmation unapata mtumaji labda kama wewe mtumiwaji unataka kujilidhisha kama huyo mtu katuma pesa bila ya wewe kwenda benki kucheki balance utamuomba hiyo text akutumie au labda benki huo muamala hauonekani kuingia ndo maana wanakuomba hiyo ili waweze kujua tatizo liko wapi ni kama wewe tu unavyoenda kwa Wakala wa Mpesa kutoa pesa anakuomba umuonyeshe sms ya muamala uliofanya.wananidai swiftconfimation nilienda na simu yakngu na rissiti ya adsense akabofays bofya kwa computer akanidai swift confimation
kwaio unaweza kusema pesa ilikua bado haijafika tanzania ndomana ikawa hivyo c ndivyo mkuu maa wire transfer c wanasema inachukuaga muda kufikaSwift confirmation unapata mtumaji labda kama wewe mtumiwaji unataka kujilidhisha kama huyo mtu katuma pesa bila ya wewe kwenda benki kucheki balance utamuomba hiyo text akutumie au labda benki huo muamala hauonekani kuingia ndo maana wanakuomba hiyo ili waweze kujua tatizo liko wapi ni kama wewe tu unavyoenda kwa Wakala wa Mpesa kutoa pesa anakuomba umuonyeshe sms ya muamala uliofanya.
Hii hapa swift confirmation niliyotuma pesa nje View attachment 1581875
Akutumie huyo huyo aliyetuma pesaAnaefahamu jinsi yakupata swift comfimation za adsense bank wanataka hizo swift confimation kutoka kwa adsense waliotuma Sijawai toa pesa kwa wire transfer ni mala ya kwanza
Akutumie hata kwa email address kisha (ukaifotoe) unawapelekea mbona poa tu!wananidai swiftconfimation nilienda na simu yakngu na rissiti ya adsense akabofays bofya kwa computer akanidai swift confimation