Habari wakuu,
jamani hebu nisaidieni natafuta kazi hizo hapo juu. Nina degree.
Thanks.
Kwa nini uctafute kazi inayofanana taaluma uliyosomeathx coza, nna bsc. Home economics and human nutrition
kabla ya kusoma inabidi ujiulize utafanya kazi gani baadae!!Mambo tatiana?
Kwa degree uliyosomea inabidi ufanye kazi gani?
una uhakika kwamba ckupanga before cjaanza kusoma? Watu wengine bwanaaa!!!!
Hapana mkuu, tunasoma kuondoa ujinga, kazi/ajira ni matokeo. Hata hivyo sijui kwa nini amespecify kuitaka ya teller, asije akakwapua mzigo huyu!kabla ya kusoma inabidi ujiulize utafanya kazi gani baadae!!
mtu anakwambia "kabla ya kusoma ujiulize utafanya kazi gani?" kuna mtu mwenye guarantee ya future yake jamani! Yeye aliyepanga atafanya kazi gani kabla hajaanza kusoma na akaachivu hongera zake
hapana mkuu, tunasoma kuondoa ujinga, kazi/ajira ni matokeo. Hata hivyo sijui kwa nini amespecify kuitaka ya teller, asije akakwapua mzigo huyu!
houseboy kasafiri unaweza kumshikia kwa muda?