Hivi unajua interview panelist wengi wapo hapa JF na kwa kuwa ushasema haufahamu kitu chochote kuhusu hio kazi and kwa vile umefanya kupigiwa deal hadi kuwa shortlisted naogopa kukwambia kupata kwako hii kazi ni sawa na Ngamia Kupenye Tundu la Sindano au Obama kufika kibarzani kwenu kunywa kahawa
jana nlitumiwa email interview tarehe 24/9/2013 mi nimeambiwa sa 11:30am. Check mail