Hebie
JF-Expert Member
- Jul 29, 2012
- 1,415
- 859
Kuna tangazo liko hapa mtandaoni ni 22% hujaliona?Nmb ni chini ya 20% mkuu
Kuna tangazo liko hapa mtandaoni ni 22% hujaliona?Nmb ni chini ya 20% mkuu
Mkuu NMB wameanza kutoa mikopo ya biashara kwa wateja wapya?Nenda access utapata mkopo wa chapchap hata kwa siku 2 tu ila riba, yao itazalisha bajaji nyingine
Ukitaka riba nafuu ni nmb tu ndio wenye riba nafuu
Ila hupati mkopo bila kua na mzunguko na kibank lazima acount yako izunguke kwanza
Ndo maana nikasema below 25% , hizi rate ni negotiable ukiingia kichwa kichwa hata 23% utapigwa. Kuna wajanja wanapata mpaka 18%Nmb ni chini ya 20% mkuu
Vigezo vyao vipoje?? Vp kuhusu akiba bank??Nenda NBC BANK washaanza kutoa mikopo tena
Vigezo vipoje kaka??Sure at a Mimi nimepata uko...
Kiongozi tembelea tawi husika kujua vigezo na mashariki, ile ni ofisi takayokwambia hapa pengine yamebadilishwaVigezo vyao vipoje?? Vp kuhusu akiba bank??
Kwa sasa nipo nje kidogo ya tz nauliza hivyo kufanya tathmn ili nijue wap kwa kuanzia. TusameeaneKiongozi tembelea tawi husika kujua vigezo na mashariki, ile ni ofisi takayokwambia hapa pengine yamebadilishwa
Riba zao vipi?Mkopo wa muda mrefu ni Bank of Africa pekee.
Hebu fafanua kidogo mkuuNdo maana nikasema below 25% , hizi rate ni negotiable ukiingia kichwa kichwa hata 23% utapigwa. Kuna wajanja wanapata mpaka 18%
Wa biashara au mfanyakazi na riba zao ni asilimia ngapi?Sure at a Mimi nimepata uko...