Nenda azania , hawana longolongo
nmb utapata mkuu
Benki ya posta.
naona watu wanataja tu bank basi sijaona taarifa muhimu kama
1. interest eg 18,20,21,24?
2. loan factor eg Mara ngapi ya net 12,18,24
3. debit ratio eg 40,45 or 50
4. repayment period eg miaka 3,4,5 or 6
ebu tujikite kwa hapo ziadi ili tuweze kumsaidia mtoa mada
Tatizo benki nyingi LOAN MANAGER wanapenda cha juu ndiyo upate haraka. Kwa kweli nchi hii benki zina riba kubwa ajabu,posta ni wazuri ila pia crdb.
naona watu wanataja tu bank basi sijaona taarifa muhimu kama
1. interest eg 18,20,21,24?
2. loan factor eg Mara ngapi ya net 12,18,24
3. debit ratio eg 40,45 or 50
4. repayment period eg miaka 3,4,5 or 6
ebu tujikite kwa hapo ziadi ili tuweze kumsaidia mtoa mada
SCB
Interest 16, loan factor 13 times ,debit ratio 45, repayment period 5yrs
SCB ndo benki gani?
Standard Chartered Bank
SCB
Interest 16, loan factor 13 times ,debit ratio 45, repayment period 5yrs
Jamani ninaomba mnisaidie ni Bank gani ambayo itanipa mkopo kwa kipindi kifupi?
Ninahitaji BANK ambayo watanipa mkopo ili nilipe deni kidogo la mkopo wa Bank fulani kama 3.7 million ili nipate tofauti yake niendelee na Bank mpya.
Mimi ni mfanyakazi muajiriwa wa shirika. Nina shida imenikuta ya dharura.
Nisaidieni kunitajia hizo Bank niwatafute wapendwa wana Jamii forums.
Asanteni
Ndugu hicho ni chambo tu hakuna lingine hapo. Hawa nao ni wabayaaaaa!! Kwani hiyo ni kama unapata net ya Milioni tano na kuendelea. Kati ya tano na tatu ==> 18% chini ya hapo 22 ama 20%. Unapigwa lungu kwenye Bima na Processing fee ( ambayo ni kama 2.5% admin fee na .68% kwa bima).
Uwe makini na kila benki lengo lao ni kuchukua chako mkuu..
Ndugu hicho ni chambo tu hakuna lingine hapo. Hawa nao ni wabayaaaaa!! Kwani hiyo ni kama unapata net ya Milioni tano na kuendelea. Kati ya tano na tatu ==> 18% chini ya hapo 22 ama 20%. Unapigwa lungu kwenye Bima na Processing fee ( ambayo ni kama 2.5% admin fee na .68% kwa bima).
Uwe makini na kila benki lengo lao ni kuchukua chako mkuu..