Bank accounts to be compulsory for all Kenyans over 18 years!

Sijui nijibu au niangalie mechi kwenye kingamuzi, Huyu bwana sijui nia yake kuweka thread hap JF ni nini kwa kweli, mtu unaokota topic sijui wapi, unapachika hapa JF, lakini ole wako mtu uweke maoni hapa, utakosolewa lugha, sijui hujasoma, sijui nini, kwa kweli naona Mwembetayari hajafahamu nini nia ya ukumbi kama huu. Ndio kuna wengine watatoa maoni ya utumbo, hayo hata usiyape muda kujibu, lakini maoni yanayotoloewa kuelimisha jamii kuhusu hilo swala zima, basi wape watu nafasi ya kutoa maoni yao hata kama yapo upande wa pili. Topics nyingi unazoleta hapa kweli ni nzuri kuelimisha watu lakini sijui kama nipo peke yangu huwa naona vigumu sana kuzifuatilia kwani najua ni ubishi kwenda mbele... Ndugu yangu naona wewe msomi fulani, punguza pupa katika majibu, majibu ya kuendeleza mada ni mema na yataonyesha uelewa wako kuliko pupa za majibu ya kukosoa nani kakosea lugha wapi na wapi...!

Ishu ya nani yupo juu nakumbuka tukibishana darasa la tatu, nani $1 nani £10 haikusaidii ndugu yangu kama haumo kwenye hayo mahesabu...

Ad hominem. I think the problem is you feel offended that I have not agreed with what you are saying and you have resolved to attack me instead of debating the issue at hand. You want to make your postulations unchallenged!

There are about 7 people who agree with me here. Dont get too emotional, and debate the issue dont attack me. Wrong move.
 
Now about the opinion part, It is true every one has it, including you my friend. It is the cornerstone of democracy, in that we recognize we shall not all agree on any one thing at any one time, it is human after all. So to address that fact we compromise on a set threshold.

Anyways enough with the interruptions, let us get back to the topic at hand.


Like I said, restrain yourself from telling me what I meant, I meant what I wrote and I wrote what I meant, If you feel that urge encroaching on your senses, please ask for a clarification. The debate would be so much smoother with less interruptions such as this.

I still dont get how I am interrupting you seeing that we are in different locations and you have to type what you want, when you want and how you want. Enough side shows, I stand my ground.
 
Kweli hii shule: Dictionary out kujua maana ya par se na neno jipya kabisa Ad hominem (Sure will never need to use it so will not bother).
Mimi mbona sijatoa maoni yangu kwenye hii ishu ya account, zaidi nilichosoma hapa ni kuwa unayo dictionary by your side kuwakoga watu kuwa umeenda shule. Nielewe ndugu yangu usijepata pressure kwa mambo kama haya, mijadala. Tangu uanike hii kitu sijasoma wewe maoni yako ni yapi, kwani kila reply wewe unabisha tu...
 
Kweli hii shule: Dictionary out kujua maana ya par se na neno jipya kabisa Ad hominem (Sure will never need to use it so will not bother).
Mimi mbona sijatoa maoni yangu kwenye hii ishu ya account, zaidi nilichosoma hapa ni kuwa unayo dictionary by your side kuwakoga watu kuwa umeenda shule. Nielewe ndugu yangu usijepata pressure kwa mambo kama haya, mijadala. Tangu uanike hii kitu sijasoma wewe maoni yako ni yapi, kwani kila reply wewe unabisha tu...

Ad hominem
 
Ad hominem

One of the most widely misused terms on the Net is "ad hominem". It is most often introduced into a discussion by certain delicate types, delicate of personality and mind, whenever their opponents resort to a bit of sarcasm. As soon as the suspicion of an insult appears, they summon the angels of ad hominem to smite down their foes, before ascending to argument heaven in a blaze of sanctimonious glory. They may not have much up top, but by God, they don't need it when they've got ad hominem on their side. It's the secret weapon that delivers them from any argument unscathed.

In reality, ad hominem is unrelated to sarcasm or personal abuse. Argumentum ad hominem is the logical fallacy of attempting to undermine a speaker's argument by attacking the speaker instead of addressing the argument. The mere presence of a personal attack does not indicate ad hominem: the attack must be used for the purpose of undermining the argument, or otherwise the logical fallacy isn't there. It is not a logical fallacy to attack someone; the fallacy comes from assuming that a personal attack is also necessarily an attack on that person's arguments.

Therefore, if you can't demonstrate that your opponent is trying to counter your argument by attacking you, you can't demonstrate that he is resorting to ad hominem. If your opponent's sarcasm is not an attempt to counter your argument, but merely an attempt to insult you (or amuse the bystanders), then it is not part of an ad hominem argument.

Actual instances of argumentum ad hominem are relatively rare. Ironically, the fallacy is most often committed by those who accuse their opponents of ad hominem, since they try to dismiss the opposition not by engaging with their arguments, but by claiming that they resort to personal attacks. Those who are quick to squeal "ad hominem" are often guilty of several other logical fallacies, including one of the worst of all: the fallacious belief that introducing an impressive-sounding Latin term somehow gives one the decisive edge in an argument.

source
 
@Mwembetayari, naomba unisaidie, M-PESA ilikuwa idea ya Mkenya au expat(s) waliokuwa wanafanya kazi Kenya?

This M-PESA thing ilikuwa yao kabisa but taken up by MJ(Michael Joseph) who believed in it!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Niliuliza hili swali kwenye thread nyingine na naomba nirudie tena hapa. Kuna nini kinasukuma hii campaign ya kuchambua Tanzania kuanzia uchumi hadi elimu ya watanzania? Why now and what's the aim behind it? Kwa nini mikakati ya serikali ya Kenya ilitwe kwenye jukwaa la Tanzania katika lugha ya kuonesha Tanzania si chochote wala lolote?

Ni ustaarabu gani kuongelea internal affairs za nchi nyingine kwenye jukwaa lao? Natambua Kenya nako kuna online forum kama hizi, lakini sina hakika kama kuna watanzania wanapeleka mada za madharau na uchokozi kama hizi zinazoletwa na Mwembeyari na Nairoberry? Kuna tofauti kubwa sana kati ya mada kwa maana ya kutoa taarifa na mada kwa maana ya kupaka matope!

Nakiri tangu nianze kusoma hizi threads za majidai nimeamua kutoa kisogo kwa bidhaa za Kenya na kwa kuanzia no brookside milk in my house.
 
Hata mimi nauliza nia yake ni nini? Kwani inaonekana kama hakupata kitu fulani TZ au kutoka kwa MTZ ndio maana kejeli yote hii... Alete mada nwenyewe, na kuisimamia kana kwamba yeye ndiye hiyo mada upuuzi mtupu....
Kasema Ad sijui nini vile, kaumbuliwa kuwa tope kwake mwenyewe... Jamani, kama huyu jamaa anakudai na wewe ni MTZ, tuombe mchango kwani naona mtoto wa watu pressure nyingi sana.

FJM ndugu yangu, endelea tu kunywa maziwa, huyu ana'issue yake mwenyewe...
 
Niliuliza hili swali kwenye thread nyingine na naomba nirudie tena hapa. Kuna nini kinasukuma hii campaign ya kuchambua Tanzania kuanzia uchumi hadi elimu ya watanzania? Why now and what's the aim behind it? Kwa nini mikakati ya serikali ya Kenya ilitwe kwenye jukwaa la Tanzania katika lugha ya kuonesha Tanzania si chochote wala lolote?

Ni ustaarabu gani kuongelea internal affairs za nchi nyingine kwenye jukwaa lao? Natambua Kenya nako kuna online forum kama hizi, lakini sina hakika kama kuna watanzania wanapeleka mada za madharau na uchokozi kama hizi zinazoletwa na Mwembeyari na Nairoberry? Kuna tofauti kubwa sana kati ya mada kwa maana ya kutoa taarifa na mada kwa maana ya kupaka matope!

Nakiri tangu nianze kusoma hizi threads za majidai nimeamua kutoa kisogo kwa bidhaa za Kenya na kwa kuanzia no brookside milk in my house.

Two words: International Forum
 
One of the most widely misused terms on the Net is "ad hominem". It is most often introduced into a discussion by certain delicate types, delicate of personality and mind, whenever their opponents resort to a bit of sarcasm. As soon as the suspicion of an insult appears, they summon the angels of ad hominem to smite down their foes, before ascending to argument heaven in a blaze of sanctimonious glory. They may not have much up top, but by God, they don't need it when they've got ad hominem on their side. It's the secret weapon that delivers them from any argument unscathed.

In reality, ad hominem is unrelated to sarcasm or personal abuse. Argumentum ad hominem is the logical fallacy of attempting to undermine a speaker's argument by attacking the speaker instead of addressing the argument. The mere presence of a personal attack does not indicate ad hominem: the attack must be used for the purpose of undermining the argument, or otherwise the logical fallacy isn't there. It is not a logical fallacy to attack someone; the fallacy comes from assuming that a personal attack is also necessarily an attack on that person's arguments.

Therefore, if you can't demonstrate that your opponent is trying to counter your argument by attacking you, you can't demonstrate that he is resorting to ad hominem. If your opponent's sarcasm is not an attempt to counter your argument, but merely an attempt to insult you (or amuse the bystanders), then it is not part of an ad hominem argument.

Actual instances of argumentum ad hominem are relatively rare. Ironically, the fallacy is most often committed by those who accuse their opponents of ad hominem, since they try to dismiss the opposition not by engaging with their arguments, but by claiming that they resort to personal attacks. Those who are quick to squeal "ad hominem" are often guilty of several other logical fallacies, including one of the worst of all: the fallacious belief that introducing an impressive-sounding Latin term somehow gives one the decisive edge in an argument.

source

This is kettle logic.
 
Niliuliza hili swali kwenye thread nyingine na naomba nirudie tena hapa. Kuna nini kinasukuma hii campaign ya kuchambua Tanzania kuanzia uchumi hadi elimu ya watanzania? Why now and what's the aim behind it? Kwa nini mikakati ya serikali ya Kenya ilitwe kwenye jukwaa la Tanzania katika lugha ya kuonesha Tanzania si chochote wala lolote?

Ni ustaarabu gani kuongelea internal affairs za nchi nyingine kwenye jukwaa lao? Natambua Kenya nako kuna online forum kama hizi, lakini sina hakika kama kuna watanzania wanapeleka mada za madharau na uchokozi kama hizi zinazoletwa na Mwembeyari na Nairoberry? Kuna tofauti kubwa sana kati ya mada kwa maana ya kutoa taarifa na mada kwa maana ya kupaka matope!

Nakiri tangu nianze kusoma hizi threads za majidai nimeamua kutoa kisogo kwa bidhaa za Kenya na kwa kuanzia no brookside milk in my house.


Kwanza hiii ni international forum, anything international I believe is allowed here. Cha pili, kama unategemea ku boycott bidhaa za kenya kwa kuwa hukubaliani na mawazo ya watu wachache tuu, basi issue kubwa si ya hao wachache, ila ni ya kwako wewe, sababu inaonyesha fikra zako zilivyo duni. Halafu naona sijui itakuwaje tukitegemea zilivo nyingi.

Ukilinganisha wakenya wanaochangia hapa JF na idadi ya wakenya ambao huja yasikia maoni yao, hii ya hapa JF ni ndogo mno kwako wewe kuwa shurutisha wakenya wote hata kama hawa wachache wamwkukosea.

Ieleweke, ni kawaida ya mada yoyote ile watu kuto kubaliana, na pressure kupanda, mara kwa mara wengine wanazidi, na hii nikutoka pande zote za wahusika. Kama huwezi, au unaona vigumu kustahimili ukweli wa yanayotokea kwenye mijadala yoyote, basi mawaidha yangu kwako ni usijihusishe.

Ijapokuwa kutojihusisha kwenye topic yoyote ile amabyo unamchango, ni kuwanyima wenzako elimu mbayo tunai hitaji sana especially afrika ambapo elimu nyingi tunaitoa ngambo.
Endelea kuchangia na kuikubali michango ya wenzako, ikiwa kunacho hukubaliani nacho basi mueleze mchangiaji, yawezekana mkakubaliana.

Kwa hizo forum za wakenya, ikiwa kuna sehemu ya international hata topic za TZ nadhani zinakaribishwa, na kama hazikaribishwi bashi hakuna haja ya kuipatia jina International.
 
Kwanza hiii ni international forum, anything international I believe is allowed here. Cha pili, kama unategemea ku boycott bidhaa za kenya kwa kuwa hukubaliani na mawazo ya watu wachache tuu, basi issue kubwa si ya hao wachache, ila ni ya kwako wewe, sababu inaonyesha fikra zako zilivyo duni. Halafu naona sijui itakuwaje tukitegemea zilivo nyingi.

Ukilinganisha wakenya wanaochangia hapa JF na idadi ya wakenya ambao huja yasikia maoni yao, hii ya hapa JF ni ndogo mno kwako wewe kuwa shurutisha wakenya wote hata kama hawa wachache wamwkukosea.

Ieleweke, ni kawaida ya mada yoyote ile watu kuto kubaliana, na pressure kupanda, mara kwa mara wengine wanazidi, na hii nikutoka pande zote za wahusika. Kama huwezi, au unaona vigumu kustahimili ukweli wa yanayotokea kwenye mijadala yoyote, basi mawaidha yangu kwako ni usijihusishe.

Ijapokuwa kutojihusisha kwenye topic yoyote ile amabyo unamchango, ni kuwanyima wenzako elimu mbayo tunai hitaji sana especially afrika ambapo elimu nyingi tunaitoa ngambo.
Endelea kuchangia na kuikubali michango ya wenzako, ikiwa kunacho hukubaliani nacho basi mueleze mchangiaji, yawezekana mkakubaliana.

Kwa hizo forum za wakenya, ikiwa kuna sehemu ya international hata topic za TZ nadhani zinakaribishwa, na kama hazikaribishwi bashi hakuna haja ya kuipatia jina International.

You are one of my favorite people here! Thanks for that!
 
Niliuliza hili swali kwenye thread nyingine na naomba nirudie tena hapa. Kuna nini kinasukuma hii campaign ya kuchambua Tanzania kuanzia uchumi hadi elimu ya watanzania? Why now and what's the aim behind it? Kwa nini mikakati ya serikali ya Kenya ilitwe kwenye jukwaa la Tanzania katika lugha ya kuonesha Tanzania si chochote wala lolote?

Ni ustaarabu gani kuongelea internal affairs za nchi nyingine kwenye jukwaa lao? Natambua Kenya nako kuna online forum kama hizi, lakini sina hakika kama kuna watanzania wanapeleka mada za madharau na uchokozi kama hizi zinazoletwa na Mwembeyari na Nairoberry? Kuna tofauti kubwa sana kati ya mada kwa maana ya kutoa taarifa na mada kwa maana ya kupaka matope!

Nakiri tangu nianze kusoma hizi threads za majidai nimeamua kutoa kisogo kwa bidhaa za Kenya na kwa kuanzia no brookside milk in my house.

FJM,

..hata mimi nashangaa.

..na hizi dharau zao r really deep rooted.

..mimi nime-conclude kwamba hii Community ni ujanja-ujanja tu.

..wa-Tanzania we need to look out for ourselves.

..how can we be promoting EAC as market of 120+ mil to the outsider, halafu tunarudi nyumbani hizi media houses za Kenya zinaendesha campaign kwamba wa-Tanzania[40 mil] ni wajinga, wavivu, anti-business, and all sorts of negative things??
 
  • Thanks
Reactions: FJM
FJM,

..hata mimi nashangaa.

..na hizi dharau zao r really deep rooted.

..mimi nime-conclude kwamba hii Community ni ujanja-ujanja tu.

..wa-Tanzania we need to look out for ourselves.

..how can we be promoting EAC as market of 120+ mil to the outsider, halafu tunarudi nyumbani hizi media houses za Kenya zinaendesha campaign kwamba wa-Tanzania[40 mil] ni wajinga, wavivu, anti-business, and all sorts of negative things??

I couldn't agree with you more......
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kwanza hiii ni international forum, anything international I believe is allowed here. Cha pili, kama unategemea ku boycott bidhaa za kenya kwa kuwa hukubaliani na mawazo ya watu wachache tuu, basi issue kubwa si ya hao wachache, ila ni ya kwako wewe, sababu inaonyesha fikra zako zilivyo duni. Halafu naona sijui itakuwaje tukitegemea zilivo nyingi.

Ukilinganisha wakenya wanaochangia hapa JF na idadi ya wakenya ambao huja yasikia maoni yao, hii ya hapa JF ni ndogo mno kwako wewe kuwa shurutisha wakenya wote hata kama hawa wachache wamwkukosea.

Ieleweke, ni kawaida ya mada yoyote ile watu kuto kubaliana, na pressure kupanda, mara kwa mara wengine wanazidi, na hii nikutoka pande zote za wahusika. Kama huwezi, au unaona vigumu kustahimili ukweli wa yanayotokea kwenye mijadala yoyote, basi mawaidha yangu kwako ni usijihusishe.

Ijapokuwa kutojihusisha kwenye topic yoyote ile amabyo unamchango, ni kuwanyima wenzako elimu mbayo tunai hitaji sana especially afrika ambapo elimu nyingi tunaitoa ngambo.
Endelea kuchangia na kuikubali michango ya wenzako, ikiwa kunacho hukubaliani nacho basi mueleze mchangiaji, yawezekana mkakubaliana.

Kwa hizo forum za wakenya, ikiwa kuna sehemu ya international hata topic za TZ nadhani zinakaribishwa, na kama hazikaribishwi bashi hakuna haja ya kuipatia jina International.

Kama umesoma kwa makini post yangu nimeeleza vizuri kabisa kuwa kuna tofauti kati ya mada (topic) kwa maana mjadala na mada kwa maana ya kudharau. Kwa mtamazo wangu mada za siku za karibuni ni zaidi ya mjadala. Zimebeba harufu ya madharau. International forum ni sub-forum ya Jamii forums ambayo ni ya kitanzania. Na nilihoji kama kwenye forum za Kenya watanzania wanaleta huu upuuzi unaoetwa hapa? Inawezekna nikawa na fikra duni kama ulivyopendekeza but you dont need to be a brain surgen kuona kiherehere kilichojaa kwenye hizi mada za hao watu niliotaja.

Tanzania tuna matatizo yetu kama nchi, but we dont need anyone to luctures on that and certainly not a self-praising matonya.
 
Hivi ni Forum gani za Wakenya ambazo ni mashuhuri? Naijua Mashada tuu, ambayo huko ukabila ndio staple food.
 
Back
Top Bottom