Bank ABC mnaudhi sana

Bank ABC mnaudhi sana

mAgaziJuTO.

Senior Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
119
Reaction score
37
Matangazo yenu yanasema mnatoa mkopo ndani ya SAA 48. Fomu yangu imepitishwa na utumishi wiki ya tatu sasa sijapata pesa. Customer care mnatumia simu za mezani ambazo wengi hatuwezi kuwapigia na hata mkipigiwa hampokei. Mnafanya vibaya kwani wengine tunakopa ili kutatua matatizo ya ghafla kama maradhi.

Badilikeni tafadhali.
 
Matangazo yenu yanasema mnatoa mkopo ndani ya SAA 48. Fomu yangu imepitishwa na utumishi wiki ya tatu sasa sijapata pesa. Customer care mnatumia simu za mezani ambazo wengi hatuwezi kuwapigia na hata mkipigiwa hampokei. Mnafanya vibaya kwani wengine tunakopa ili kutatua matatizo ya ghafla kama maradhi.

Badilikeni tafadhali.
BancABC mpo humu?kama ni kweli hamtendi vyema kwa wateja wenu.
 
Subiri uchukua hadi Zaidi ya miezi 2 ili uweze kupata huo mkopo hizo wiki tatu bado sana
 
Back
Top Bottom