Leo katika pita pita zangu huko mitandaoni nimekutana na hii picha yenye caption ya aina yake.
Ineelezea mazingira halisi ya binadamu na tabia zetu unaweza tenda wema kwa moyo na kujitolea lakini bado ukaonekana si kitu na ukalipwa fedheha na kejeli vile vile.
Lakini picha hii na caption yake inatufunza jambo kwanza kabisa tusichoke kusaidiana panapohitajika msaada.
Lakini zaidi usipende wema wa malipo sababu utaisononesha nafsi bure jifunze kutenda na kuenda zako.