Baniani Mbaya Kiatu chake Dawa

Baniani Mbaya Kiatu chake Dawa

FRANK JOEM

Member
Joined
Jan 2, 2019
Posts
59
Reaction score
42
Ni miongoni mwa misemo ya kiswahili ( Metheli) ya wahenga sina uhakika kama karne hii yupo alie kuwapo kabla ya ujio wa methali hii nimefundishwa darasani kwa levo zote za elimu yangu na pia nimefundishwa na walimwengu nje ya darasa lakin bado tafsiri imekua tatizo kwangu tunatofautiana uelewa shusheni maana zenu mwalimwengu mwenzangu...!!!
 
Tafsiri yake ni kwamba, kitu au mtu au watu unaowaona wabaya/kibaya huwa katika ubaya wake/wao wana kitu kizuri cha kukusaidia, yaani hata mtu au mbaya vipi au kitu kiwe kibaya vipi, lakini huwa kuna kitu kizuri cha kukusaidia kutokana na huyohuyo mtu, au haohao watu au hichohicho kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi nzuri assante sana mkubwa wangu Nimeng'amua
 
Back
Top Bottom