mnengene JF-Expert Member Nov 21, 2011 4,139 6,347 Jan 28, 2022 #21 madereva wa malori wanavaa sana hayo madude
Medecin JF-Expert Member Nov 29, 2011 7,899 21,311 Jan 28, 2022 #22 Me ninazo mbili navaa, zina faida sana mbali na urembo. Zinasaidia mfumo wa upumuaji, kunyonya sumu na kupunguza maumivu ya viungo.
Me ninazo mbili navaa, zina faida sana mbali na urembo. Zinasaidia mfumo wa upumuaji, kunyonya sumu na kupunguza maumivu ya viungo.
Mamujay Senior Member Dec 24, 2022 150 342 Jan 25, 2023 #24 Umejibu swali vzur sana hongera sana japo kuna nondo zingine za kujazia
COMORIENNE JF-Expert Member Dec 25, 2022 536 697 Mar 23, 2024 #25 The Technologist said: Ni kweli hata wanyama wakali mfano fisi, ama nyoka hawakusogelei ikiwa umevaa hiyo bangili, pia inatibu maradhi yatokanayo na upungufu wa shaba... Click to expand... Ni sahihi
The Technologist said: Ni kweli hata wanyama wakali mfano fisi, ama nyoka hawakusogelei ikiwa umevaa hiyo bangili, pia inatibu maradhi yatokanayo na upungufu wa shaba... Click to expand... Ni sahihi