Bangi noooma!

Bangi noooma!

Bangeeeeeeeeeee nibangue bi Kidude nimuone Sista Duh, Bi cheka nimuone Kigori,Madam spika nimuone murembooooo.,, haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen::amen:
 
Wavuta bangi wa2 walikuwa wanavuta bangi chini ya mwembe.Walivyomaliza kuvuta wakataka kuondoka,mmja wao akaona embe lililoiva juu ya mwembe akamwambia mwenzake;-kuna embe limeiva juu ya mti,tulipige na mawe.basi wakakusanya mawe na kuanza kililenga,walitupa mawe kwa mda kama nusu saa hivi lakini hawakufanikiwa kulipiga.Basi mmja wao akasema;-mwanangu tunaweza tukawa tunaliangaikia embe alafu likawa halijaiva,ngoja nipande juu nikaakikishe kama limeiva.Basi akapanda na kulifikia kisha akalibonyeza, kisha akashuka na kumwambia mwenzake;-mwanangu limeiva tafuta mawe mengine tulishushe maana limeiva kweliii.

du bangi sivuti tena zile zile za form two zinatosha
 
Hiyo orikokola Arusha moja wachana na hiyo kijiti wewe.....!!!
 
daaaaaaaaaaaaaaaah....... hii kali arifff
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom