Bangi Noma

Bangi Noma

Samsonkube

New Member
Joined
Apr 18, 2009
Posts
3
Reaction score
2
Wavuta Bhangi walikuwa wakivuta bhangi kwenye jumba kubwa linaloendelea kujengwa. Bangi ikiwa imewakolea, wakaishiwa kiberiti. Mmoja wao wakamwagiza akaazime kiberiti.
Mwenzao akazunguka kwenye hilo jengo akatokea palepale alipokuwa na mazungumzo na wenzake yakawa hivi. (Bila kujua kuwa anaozungumza nao ni hao wenzanke waliomtuma akaazime kiberiti)
Mvuta Bhangi: Washikaji mna kiberiti sisi tumeishiwa? Huku akiyumba na jicho linarembua.
Wenzake: Subiri hapa kuna mwana tumemwagiza analeta sasa hivi (Bila kujua waliemuagiza ndio anayewaomba)
KWELI BHANGI NOMA!!!!!!
 
Wavuta Bhangi walikuwa wakivuta bhangi kwenye jumba kubwa linaloendelea kujengwa. Bangi ikiwa imewakolea, wakaishiwa kiberiti. Mmoja wao wakamwagiza akaazime kiberiti.
Mwenzao akazunguka kwenye hilo jengo akatokea palepale alipokuwa na mazungumzo na wenzake yakawa hivi. (Bila kujua kuwa anaozungumza nao ni hao wenzanke waliomtuma akaazime kiberiti)
Mvuta Bhangi: Washikaji mna kiberiti sisi tumeishiwa? Huku akiyumba na jicho linarembua.
Wenzake: Subiri hapa kuna mwana tumemwagiza analeta sasa hivi (Bila kujua waliemuagiza ndio anayewaomba)
KWELI BHANGI NOMA!!!!!!

cc: charminglady
 
Last edited by a moderator:
Wavuta Bhangi walikuwa wakivuta bhangi kwenye jumba kubwa linaloendelea kujengwa. Bangi ikiwa imewakolea, wakaishiwa kiberiti. Mmoja wao wakamwagiza akaazime kiberiti.
Mwenzao akazunguka kwenye hilo jengo akatokea palepale alipokuwa na mazungumzo na wenzake yakawa hivi. (Bila kujua kuwa anaozungumza nao ni hao wenzanke waliomtuma akaazime kiberiti)
Mvuta Bhangi: Washikaji mna kiberiti sisi tumeishiwa? Huku akiyumba na jicho linarembua.
Wenzake: Subiri hapa kuna mwana tumemwagiza analeta sasa hivi (Bila kujua waliemuagiza ndio anayewaomba)
KWELI BHANGI NOMA!!!!!!

Cc. charminglady
 
Last edited by a moderator:
Acha kabisa bhangi tamu ilimsababisha jamaa akamtoa bikira demu hiyo raha 2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom