WISE 2012
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 634
- 460
Ni saa 7 usiku Eneo la KIMARA DAR, mwendesha bodaboda anamalizia kuvuta bangi. Anaingia bafuni na kujimwagia kopo la kwanza la maji na la pili, anashtuka na kuanza kupiga makelele na kutoka nje akidai bafuni kuna majini. Watu wanakuja wanamkuta uchi. Wanamuuliza kulikoni, anasema kila akijimwagia maji kichwani nywele hazilowi. lazima bafuni kuna majini. kumwangalia vizuri kichwani kumbe kavaa HELMET.
'''BANGI SOOOO'''
'''BANGI SOOOO'''