Bangi msamvu ni kama chakula.

Bangi msamvu ni kama chakula.

gambosh1972

Senior Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
119
Reaction score
22
Jamani ni aibu sana hata sijui niseme nini kuiona taifa la kesho likiangamia na madawa ya kulevya aina ya bangi na hata kile kifaa cha bakhresa(sembe) masaa 24 na wala hawabugudhiwi na chombo chochote cha usalama kwa raia.Nashindwa kuelewa mfano polisi wanashindwa vipi kuyatawanya haya makundi ktk eneo nzima la msamvu na hata Itigi nyuma ya Lupira?bangi zinasokotwa hadharani na watu wako hoi kwa kupinda udenda nje nje na ukabaji uliyokithiri nyakati za usiku.Jamani polisi wetu waokoeni hawa vijana na hata raia wanaokabwa na kuporwa vitu na hata kuumizwa.
 
Vp ww?Kwa hiyo wanajitibu masikio ktk vijiwe hivyo?


gambosh1972 nakwambia bangi siyo mbaya hata kidogo ni watumiaji ndiyo wanazidisha matumizi yake tu na ndiyo maana unaona kama ina madhara ila ni ki2 kizuri sana hata chakula cha kawaida ukila ukapitiliza nayo madhara yake yapo.
Acha vijana wale vyao!
 
Last edited by a moderator:
Kaumba,Msamvu,Masika
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Pia huku mtaani kwetu, kuna ligi ya mbuzi. Kuna timu rasmi ya Wavuta Bangi imeingia.
 
acha umbea wewe....:bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange::bange:
 
bila kusahau wale madereva wa bodaboda ambao asilimia 90% ni wezi kwa wateja wao!!



''kila kona morogoro pananukia uhalifu kuanzia unaposhuka stendi tu''
 
Pole mleta mada maana umekutana na watumiaji humu wanakukata maini kidizaini..
 
Nahisi imeruhusiwa kidizaini maana na hata gongo hivi karibuni litakubaliwa rasmi
 
bangi isipodhibitiwa muda si mrefu taifa litakua na idadi kubwa ya vichaa mf. jamaica
 
Jamani ni aibu sana hata sijui niseme nini kuiona taifa la kesho likiangamia na madawa ya kulevya aina ya bangi na hata kile kifaa cha bakhresa(sembe) masaa 24 na wala hawabugudhiwi na chombo chochote cha usalama kwa raia.Nashindwa kuelewa mfano polisi wanashindwa vipi kuyatawanya haya makundi ktk eneo nzima la msamvu na hata Itigi nyuma ya Lupira?bangi zinasokotwa hadharani na watu wako hoi kwa kupinda udenda nje nje na ukabaji uliyokithiri nyakati za usiku.Jamani polisi wetu waokoeni hawa vijana na hata raia wanaokabwa na kuporwa vitu na hata kuumizwa.

Polisi hawezi kufanya chochote hapo anakuwa ameshachukua chake kutoka kwa pusha!
 
Polisi hawezi kufanya chochote hapo anakuwa ameshachukua chake kutoka kwa pusha!

Polisi maisha yanamchenga. aache kuchukua rushwa ahangaike na wewe unaeharibu maisha yake kwa bangi. hata mimi sina huo muda mchafu. anaetaka kujiangamiza kwa bangi. Ruksa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom