KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,249
- 5,932
Polisi hawezi kufanya chochote hapo anakuwa ameshachukua chake kutoka kwa pusha!
'hao polisi wenyewe sio ajabu ukakuta pia ni wqvuta bhangi sasa wataweza kuwakamata wenzao.................licha ya hivyo hao hao polisi ndio wanawauzia hizo bhangi baada ya kulamatwa sasa utakuta wanapeana kwa mali kauli tu hivi unadhani si anasubiri jamaa auze ili akachukue pesa yake?,na hata akikamatwa na mwengine atampigia simu afande wake atakuja wataongea wao kwa wao kuwa kampa mzigo azungushe hivyo inakuwa wanasumbuka bure tu mwisho wanaona aaagh'