Bangi kuwa deal duniani..

Bangi kuwa deal duniani..

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,300
Reaction score
17,822
Baadhi ya majimbo nchini marekani yatadhibitisha matumizi ya Bangi hospitalini kama dawa..

Ni fursa sasa na nchi yetu kujipanga ili hili zao liweze kuongeza mapato ya nchi.

CNN
 
Hilo jani ni sacred.

tz should legalize it mapema so as to reap faida zake mapema,

sababu mwisho wa siku litatumika tu duniani kote,

iruhusiwe mapema meanwhile in the short run period tupate ma supernormal profit kwa ushuru wa ndani na exports,

Wengine wakija kurupuka huko late in the long run period sasa sisi tunakuwa tunawashinda kwa experience na kila kitu.

Marekani wajanja sana washaona hilo, waafrika tunasubiri weupe wote walegaliza ndio tuige na sisi, na watatuuzia hadi zitazovunwa hapahapa, si hawa viongozi wetu wanagawa gawa ardhi kwa wageni, mtu anatoka na ujuzi wake huko anayapanda hapa anatuuzia, chezea watu wajanja, wametukataza tusitumie sasa hivi haohao wanaruhusu, jiulize kwann, ts all abt money mazee, they foresaw.

Na bangi haivutwi tu ina matumizi kibao, mia kidogo apart from smoking.

To make long stry short, me ni large scale pusher, therefore yeyote ataehitaji popote pale tz nitadeliver hadi mlangoni, pm me if interested.
 
Bila kuvuta bangi huweza kupigana vita,kupambana na vibaka,patrol,kufanya kazi ziwani,ulinzi,kuandamana,kuitoa ccm madarakani!
 
Nyambari wa Tarime, Nassari wa Arumeru changamkieni tenda.Colorado USA wameuza ya€5 wiki moja na imewaishia. Mulamula ?!
 
Nyambari wa Tarime, Nassari wa Arumeru changamkieni tenda.Colorado USA wameuza ya€5m wiki moja na imewaishia.Mulamula ?!
 
Bila kuvuta bangi huweza kupigana vita,kupambana na vibaka,patrol,kufanya kazi ziwani,ulinzi,kuandamana,kuitoa ccm madarakani!

Hadi kuitoa ccm madarakani kweli bangi deal
 
Nyambari wa Tarime, Nassari wa Arumeru changamkieni tenda.Colorado USA wameuza ya€5m wiki moja na imewaishia.Mulamula ?!

Very soon hata New york wataiverify.
 
Nyambari wa Tarime, Nassari wa Arumeru changamkieni tenda.Colorado USA wameuza ya€5 wiki moja na imewaishia. Mulamula ?!

Ni big deal dola milion 5 kwa wiki si pesa kidogo ati.
Bangi inamatumizi mengi more than kuvuta.
 
bhange ikiwa full legalized,reggae hits za kuisifia zitaongezeka au ndo zitapungua since uhuru kamili utakuwepo?
 
Hilo jani ni sacred.

tz should legalize it mapema so as to reap faida zake mapema,

sababu mwisho wa siku litatumika tu duniani kote,

iruhusiwe mapema meanwhile in the short run period tupate ma supernormal profit kwa ushuru wa ndani na exports,

Wengine wakija kurupuka huko late in the long run period sasa sisi tunakuwa tunawashinda kwa experience na kila kitu.

Marekani wajanja sana washaona hilo, waafrika tunasubiri weupe wote walegaliza ndio tuige na sisi, na watatuuzia hadi zitazovunwa hapahapa, si hawa viongozi wetu wanagawa gawa ardhi kwa wageni, mtu anatoka na ujuzi wake huko anayapanda hapa anatuuzia, chezea watu wajanja, wametukataza tusitumie sasa hivi haohao wanaruhusu, jiulize kwann, ts all abt money mazee, they foresaw.

Na bangi haivutwi tu ina matumizi kibao, mia kidogo apart from smoking.

To make long stry short, me ni large scale pusher, therefore yeyote ataehitaji popote pale tz nitadeliver hadi mlangoni, pm me if interested.

me nataka ile kali sana uki-smoke tu inaingia mpaka kwenye mifupa kama zile za masaki ni kali sana kimoja tu unasizi.
 
Baadhi ya majimbo nchini marekani yatadhibitisha matumizi ya Bangi hospitalini kama dawa..

Ni fursa sasa na nchi yetu kujipanga ili hili zao liweze kuongeza mapato ya nchi.

CNN
ulipaswa kupata like sema tu natumia mchina..
 
Hilo jani ni sacred.

tz should legalize it mapema so as to reap faida zake mapema,

sababu mwisho wa siku litatumika tu duniani kote,

iruhusiwe mapema meanwhile in the short run period tupate ma supernormal profit kwa ushuru wa ndani na exports,

Wengine wakija kurupuka huko late in the long run period sasa sisi tunakuwa tunawashinda kwa experience na kila kitu.

Marekani wajanja sana washaona hilo, waafrika tunasubiri weupe wote walegaliza ndio tuige na sisi, na watatuuzia hadi zitazovunwa hapahapa, si hawa viongozi wetu wanagawa gawa ardhi kwa wageni, mtu anatoka na ujuzi wake huko anayapanda hapa anatuuzia, chezea watu wajanja, wametukataza tusitumie sasa hivi haohao wanaruhusu, jiulize kwann, ts all abt money mazee, they foresaw.

Na bangi haivutwi tu ina matumizi kibao, mia kidogo apart from smoking.

To make long stry short, me ni large scale pusher, therefore yeyote ataehitaji popote pale tz nitadeliver hadi mlangoni, pm me if interested.

Nataka gunia moja njoo nalo hapa stesheni dsm
 
...binafsi sielewi na wala hainiingii akilini kabisa kwanini SIGARA inayosababisha magonjwa zaidi ya 40 iwe HALALI, halafu BANGI inayotibu magonjwa zaidi ya 40 iwe HARAMU.
Nionavyo mimi ni kichaa tu cha uroho wa mabepari. Bangi haipewi 'fursa' sababu matumizi yake ni DIY, haihitaji kupitia kiwandani, na itapunguza demand ya madawa mengi yanyoendelea kutuua daily.
 
...binafsi sielewi na wala hainiingii akilini kabisa kwanini SIGARA inayosababisha magonjwa zaidi ya 40 iwe HALALI, halafu BANGI inayotibu magonjwa zaidi ya 40 iwe HARAMU.
Nionavyo mimi ni kichaa tu cha uroho wa mabepari. Bangi haipewi 'fursa' sababu matumizi yake ni DIY, haihitaji kupitia kiwandani, na itapunguza demand ya madawa mengi yanyoendelea kutuua daily.

Kweli mkuu, ubepari ulifanya bangi ikawa haramu duniani.
Hili zao litakuwa deal sana hapa duniani.
 
...binafsi sielewi na wala hainiingii akilini kabisa kwanini SIGARA inayosababisha magonjwa zaidi ya 40 iwe HALALI, halafu BANGI inayotibu magonjwa zaidi ya 40 iwe HARAMU.
Nionavyo mimi ni kichaa tu cha uroho wa mabepari. Bangi haipewi 'fursa' sababu matumizi yake ni DIY, haihitaji kupitia kiwandani, na itapunguza demand ya madawa mengi yanyoendelea kutuua daily.

well said
 
Back
Top Bottom