Kwa wale ambao hawajakumbwa na hayo matatizo hawajui UJIMA na UKABAILA huu uliopo hapo forodha na pale kitengo cha makotena geti namba 5 bandarini.Hapo bado usumbufu wa mawakala.
Duh kweli bado tuna safari ndefu.Tutaendelea kusikiliza ngoma ya kayamba hadi lini hapo bandarini?
Wengi wameona afadhali kupitishia mali zao bandari ya Mombasa maana hakuna ukiritimba.Kinachoshangaza ni kwamba haya mashirika yamekuwa ya watu na wala si kuhudumia umma tena.Hata sahihi za wahusika zinabinafisishwa kwa mtu mmoja na asipokuwepo njoo wiki ijayoooooooooooo,bul shit,kwa ukifa leo mbona kuna wengine wataweka sahihi kwa hizo docs...